Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,730
- 105,380
Elimu yako ni ya kiwango gani?
I'm sorry bro..!! Nimejiajiri
I'm sorry bro..!! Nimejiajiri
Nitajibu hivi. Hata Assad naye amejichanganya. Hata tungekopa bado tungekuwa kwenye wakati mgumu tu. Kukopa na kununua hakuna tofauti kwani mwisho wa siku kote unalipa, tena mkopo utalipa na riba. Kukopa kuna manufaa iwapo biashara ingekuwa nzuri na faida itumike kulipa deni. Biashara ya kukopa ambayo haingizi faida bado ni kimeo tena hata kuliko kununua cash. Tulitakiwa kwanza tufanye upembuzi, je tunahitaji kufufua shirika letu? Na kama tunahitaji ni kwa namna gani? Biashara ya shirika la ndege ni ngumu na mashirika mengi yanafilisika kila mwaka. Kutia chumvu kwenye kidonda covid ndiyo ilisambaratisha kila kitu.
Kabla ya kununua ndege, ATCL iliwahi kuingiza faida? Kama haikuwahi mlishauri nini?
bibi yako alipokopa ada yako ya chuo[bodi ya mikopo] wakati aliweza kulipa cash ukasomea setifiketi ya kufuga nyuki alifaidika nini?Habari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.
Siku dream liner imenunuliwa nilicheka sana. Sikuamini kama vichwa vyote vile vinavyoongoza nchi havifahamu kama ule ulikuwa utoto au sijui nini!
Dream liner ,, kuitunza ni ghrama kubwa sana na tungefanyia biashara gani na B787! Dah! Ile ilikuwa kituko cha ajabu sana.
Lakini nimerudi kuwaunga mkono wanaotaka mabadiriko ya katiba kwani bila rais kuwa na madaraka makubwa kiasi kile asingefajiingiza kwenye huu mkenge.
Kama kweli mama ana nia njema na hii nchi ,,swala ni moja tu; KATIBA.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ujui kama hata madawa ya mahospitalini mengi ni ya mkopo MSD? Kwanini dawa tusingenunua cash alafu hayo madege ndio tungekopaGood..!! Bajeti ya Wizara ya Afya unaifahamu? Kitu gani kilikwama mara baada ya ununuzi wa ndege nchini?
Wasalaaam ndugu zangu,naomba kukutaarifu kuwa mm n muumin wa mama samia kindakindaki,Habari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.
Kwanza je tulikuwa nahaja ya kununua ndege? Tukijibu hilo swali ndiyo tuje kwenye suala la je tungenunua kwa fedha taslim au mkopo?Habari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.
Kwanza kabisa ndege hatuendi kuazima kwenye mashirika wanayotengeneza ndege kama Boeing au Airbus au Bombardier. Tunaenda kuazima kwenye mashirika yanahusika na uazimishaji wa ndege (Aircraft Financing Corporations) ambayo yamesajiliwa kabisa kufanya hii biashara.Habari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.
Kutenga Bajeti na kuitekeleza ni vitu tofauti, Kasome utekelezaji wake ni kweli kuwa kuna Ongezeko kubwa la bajeti ila ukienda kwenye performance hadi mwaka unakwisha bajeti imetekelezwa kwa 61% tu. Fuatilia ripoti za Kamati za Bunge utaelewa ninachokisemaGood..!! Bajeti ya Wizara ya Afya unaifahamu? Kitu gani kilikwama mara baada ya ununuzi wa ndege nchini?
Faida yakuto nunua cush national airlines au flag carriers Kama ambavo hutambulika kitaalamu...nikwamba ile 1trillion tuliotumia ingeelekezwa kwene miradi au mahitaji muhimu ya wananchi walio wengi Kama maji na elimu, maana si lazima hata hivo nchi kununua ndege Wala si kana kwamba faida yake nikubwa kiasi hicho..bado unaweza wekeza kwene viwanja vya ndege ndani ya nchi nakuacha private sector wakomae kwene biashara ya ndege huku wewe ukikusanya Kodi na viwanja vizuri na vingi bado tu ndege za mashirika makubwa zingeleta watalii kutoka kila pande......USA na nchi nyingi tu hazina national airlines ila zinaongoza kwene makusanyo kupitia AngaHabari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.
1 trillion iliotumika ingeelekezwa kwene mahitaji ya muhimu kama maji,elimu na afya....huko ndo kufaidika zaidi Yani tungekuwa hatuja poteza investment ya 1trillion kwa mradi ambao unaleta hasara kubwa zaidi ya faida Bora tungekopa na zingetushinda tungeziuza tu hata Kama kwa hasara ingepunguza ile margin..kuliko upoteze investment capital yte na hasara juuHujatoa jibu, Hoja ya Aasad kupinga kununua ndege kwa Cash na ndiyo maana nauliza kwani tungekopa tungefaidika vipi zaidi ya tulivyozinunua?
Kulikuwa hakuna faida ya kununua ndege kubwa wakati hatuna uwezo wa kufanya safari za kimataifa.Ruti pekee ambayo ni salama ni india kwingine kote ndege yetu ikitua inakamtwa sababu ya madeniHabari za Asubuhi wadau..!
Kwa wakazi wa Dar es Salaam poleni na mvua.
Nimeona taarifa ya Prof: Mussa Assad aliyewahi kuwa CAG wa Tanzania juu ya taarifa yake ya kupondea ununuaji wa ndege kwa Cash, binafsi ile habari imefikirisha sana na naomba wanazengo leo mnisaidie kwa maswali yangu machache ambayo nafikiri yatasaidia ata member wengine humu ndani kupata elimu ya kile tunachokipondea ama kukitetea.
Kwanza nikiri wazi kuwa mimi ni muumini kindakindaki wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Maswali yangu ni haya hapa chini.
1. Tungeenda kukopa ndege zetu kwa
wanaotengeneza ndege (Boeing/ Airbus/
Bomberdier) tungefaidika vipi zaidi ya
tulivyozinunua kwa Cash?
2. Tungekodi Ndege kama ilivyokuwa zamani baada ya kuingia enzi za JK tukaingia ubia na Shirila la ndege la South Africa na mwisho wa siku tukabaki na madeni makubwa tukidaiwa na Shirika hilo kwa ATCL isingetucost?
Nafikiri maswali yangu aya machache yanajitosheleza kama ni bora kukopa au bora kukodi? Maana nimeona ata KQ imepata hasara zaidi ya Mabilioni ya Fedha japo wamekopa pia ndege zao.