Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Kwani matatizo yake ni matatizo ya kidunia??

Acheni uzwazwa in Zitto'z voice.

Sent using Jamii Forums mobile app
Injustice somehwere is injustice everywhere!!! Upeo mdogo hii serikali ya vichavichaa ikipaswa ikemewe ili warudi kwenye akili zao za hawali. Hatatumaliza asotupenda!nthen ataanza na nyie mnaodhani anawapenda kumbe hata hawajui!!! Shabikieni tu ushenziiii!!!!!
 
siyo vichaa wote wanavua nguo barabarani wengine wanazunguuka tuuuu kuongea maneno yasiyo na maana kwa kufikiri wanamkomoa fulani lazima apimwe akili siyo bure kuna zingine zilidondokea dom

Huyu sio kichaa wa kwanza. Mbona hatujawahi kukuona ukiandika kuhusuhao vichaa wengine? huyukichaa ana nini mpka uandike si ukae tu kimya kama ulivyokaa kwa hao wengine
 
Lisu maswali ya international media hawezi ni mhemukaji tu mjibu maswali Kiswahili sio professionally chadema Wana mtu mmoja tu mzuri kwenye press nae ni mbunge David Silinde mbunge wa Momba the rest akiwemo Tundu Lisu they are zero iwe Kwa media za ndani au nje
 
Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maigizo yake ya kukutana na makundi mbalimbali Ikulu hayabadili hali ya uchumi na ugumu wa maisha na pia hayafuti tuhuma mbalimbali za serikali za kuteka,kunyanysa raia na maovu mengine mengi.

Pia,yeye kukutana na viongozi wa dini hakuondoa ukwelI kuwa kaharibu biashara ya zao la korosho,kashindwa kuongeza mishahara ya watumishi,shilingi inapormoka,n.k.

In short,haimsaidi lolote zaidi ya kujipa matumaini hewa.
 
Robert Kyagulanyi Ssentamu aka Bobi Wine alitangulia kupita huko.....Ni nini kilitokea kwa Uganda/Museveni!? Mabeberu sio watu wazuri, mpaka makamanda mnakubali USHOGA!
Unaongea utumbo unajua masharti alopewa Museven na serikali yake kuhusu Bobwine au unaropoka tu!! Afterall ina maana hizi tabia za kifashst za kuonea na kutesa watu unakubaliana nazo??? Yuko wapi Ben saa 8? Mnaposaini mikataba ya kimataifa na kuchukuwa mikopo si mabeberu eeh? Ila wanapoelezwa unyama wenu ndo mabeberu sasa!!! Shame on youu!!! Yatakukuta!! Serikali inayo dhulumu hata wafanyakazi wake haki zao!!!!
 
Lisu maswali ya international media hawezi ni mhemukaji tu mjibu maswali Kiswahili sio professionally chadema Wana mtu mmoja tu mzuri kwenye press nae ni mbunge David Silinde mbunge wa Momba the rest akiwemo Tundu Lisu they are zero iwe Kwa media za ndani au nje
Mbona kajibu vizuri sana na kuwaumbua amewaumbua?!
 
Unaongea utumbo unajua masharti alopewa Museven na serikali yake kuhusu Bobwine au unaropoka tu!! Afterall ina maana hizi tabia za kifashstvza kuonea na kutesa watu unakubaliana nazo??? Yuko wapi Ben saa 8? Mnaposaini mikataba ya kimataifa na kuchukuwa mikopo si mabeberu eeh? Ila wanapoelezwa unyama wenu ndo mabeberu sasa!!! Shame on youu!!! Yatakukuta!! Serikali inayo dhulumu hata wafanyakazi wake haki zao!!!!
Weka hayo masharti hapa...la sivyo Wewe utakuwa ni walewale tu.
Pathetic!
 
Kuwa na akili wewe. Hizo condom au ARV haziji bure.Mliletewa net na bush mkakabidhi kigamboni. Hakuna kitu cha bure kutoka kwa mzungu.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Uwe unachuja maneno yako badala ya kukaza misuli ya kiuno na kutumia nguvu kubwa kuonekana umejibu.Ni lini nchi yako ililipa hayo unayoyaita madeni hadi yanafikia matrilioni?Hapo ni mpaka misamaha isubiriwe kulipa ngumu.Ndiyo maana kichwa cha kuku kama weye nakuambia ile ni misaada!Tuliza akili😂😂😂😂😂
 
Lisu maswali ya international media hawezi ni mhemukaji tu mjibu maswali Kiswahili sio professionally chadema Wana mtu mmoja tu mzuri kwenye press nae ni mbunge David Silinde mbunge wa Momba the rest akiwemo Tundu Lisu they are zero iwe Kwa media za ndani au nje

Wewe endelea kuwadanganya hao wapuuzi wenzio lakini ukweli unabaki palepale...Kwamba kuna namba ziko CHADEMA mafisi wa Lumumba wakizisikia au kuziona wanataka kuzirai....Tundu Lissu, Aikael Mbowe, Godbless Lema, Halima Mdee, Esther Bulaya, Esther Matiko,Rev. Msigwa, Saed Kubenea,John Mnyika+++
Usemi wa mti wenye MATUNDA NDO WENYE KUPIGWA MAWE UKO WAZI SANA KWA WABUNGE hawa maana karibu wote wameshawahi kuwekwa ndani, wana kesi Mahakamani na majaribio ya kuwaua mara kadhaa...David Silinde is good lakini siyo tishio kwa CCM kama hiyo List niliyoitaja..!!!Kuna kafomula kanasema 1 MP-CHADEMA= 10 MPs CCM.
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706


Kwa hiyo sasa amekuwa Presenter wa TVs..? Si aombe tu hiyo kazi..!! Mm nachojua ni mbunge, sio kutafuta airtime katika TVs za nje na kuichafua nchi yake...!!
 
Uwe unachuja maneno yako badala ya kukaza misuli ya kiuno na kutumia nguvu kubwa kuonekana umejibu.Ni lini nchi yako ililipa hayo unayoyaita madeni hadi yanafikia matrilioni?Hapo ni mpaka misamaha isubiriwe kulipa ngumu.Ndiyo maana kichwa cha kuku kama weye nakuambia ile ni misaada!Tuliza akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu kinaitwa msaada toka kwa mzungu. Unaletewa ARV ,wanakuja na makampuni yao ya ujenzi, madini nk unaambiwa tusaini hivi.Kama hiyo ARV ndio biashara kabisa,sema siwez kuliongea hapa coz sio mjadala wake.Elewa hakuna kitu cha bure

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Back
Top Bottom