Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Kuna kitu unapaswa kujifunza kama umeandika haya kwa dhati ya moyo wako.

Umewahi kujiuliza ni kwa nini mmekuwa mkimuita Rais dikteta lkn kundi lingine lenye influence ktk jamii likimuita mkombozi?

Na hata viongozi wengine serikalini mfano Mawaziri,RCs, DCs etc mmekuwa mkiwaita wajinga vilaza na kila jina baya lkn ndio wanaowaongoza?

Kama ni wajinga ilikuwaje wapate hizo nafasi ilhali nyie werevu mpo?

Kama utaweza kunijibu haya kwa ufasaha bila kuleta ushabiki, sifa, mihemko, au ulevi nitaheshimu sana michango yako hapa jukwaani.

Angalizo majibu yako yasiwe chanzo cha maswali hasi juu yako tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hana lolote humo kichwani zaid ya matusi dhidi ya Jpm

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Nitkuambia kwa muhtasari:Nchi zao hutupatia kondomu,ARVs na huchangia bajeti za maendeleo kwa zaidi ya asilimia 55.Umepata picha?Kwa hiyo mbwa wa mfalme umuheshimu(Aljazeera muweke kando.kidogo ingwa Arabs hutoa misaada).
Kuwa na akili wewe. Hizo condom au ARV haziji bure.Mliletewa net na bush mkakabidhi kigamboni. Hakuna kitu cha bure kutoka kwa mzungu.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
Ngoma inogile!
Mange tupa kulee!lol!
 
Kapewa ubarozi wa kutangaza Utalii au anaenda kufanya nini huko? Je, Kuna tija kwa Taifa lake?
 
Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tunataka the rule of law sio viongozi wa dini, its the rule of law, sio kutumia viongozi wa dini kwa manufaa ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom