Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,247
- 26,148
Kikubwa msiibe kura basi. Mwaka huu kura zinapigwa vituoni, tunazilinda na matokeo yote yanatangazwa vituoni. Ni ngazi zote udiwani, ubunge hadi uraisi.Hataweza Fanya lolote huyu mpuuzi,na kama anaamini kuwa atakuwa rais basi amepotea sana,
Kama mlikuwa hamjui kuhusu nguvu ya umma, mwaka huu ndo mtaiona. Enough is enough!!