Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

Hao watu wa kuingia barabarani, Ni barabara hizi za kwetu hapa Tanzania, au Ubelgiji?

Na atakayeongoza hao watu ni yeye na wale watoto wake na familia yake, au Wabelgiji na Wajerumani?

Huyu alikwisha fahamika kuwa Ni mtu asiye na vision yoyote wala hana agenda ya maendeleo katika Nchi hii.

Huyu anachohitaji ni jukwaa la kueneza uchochezi , chuki, fitina ili Nchi hii iingie kwenye machafuko na kila kitu kizuri kilichoanzishwa kiharibike tukose wote, kwa sababu yeye na hao waliomtuma wanafahamu fika kwamba anatumika tu, hawezi kuchaguliwa kuwa Rais kwa sababu hana chochote cha ku_deliver.

Kwa hiyo, hili halitowezekana kwa sababu tunataka kuendelea kuona watoto wetu wakiwa wanaongozana kila siku asubuhi wakielekea shule huku wakiwa katika hali ya utulivu Kama ilivyo sasa, tunataka kuendelea kuona watoto wetu wakisubiri mabasi ya shule vituoni na kwenye "junctions" wakiwa wanacheka kwa furaha kama ilivyo hivi sasa bila kuhofu milipuko.

Tunataka kuona rasilimali za Nchi hii zikiendelea kulindwa na kuinufaisha Nchi hii na Wananchi wake.

Haya yote, pamoja na masuala mengine muhimu kwa Nchi hii na raia wake, tayari yameshawekewa misingi thabiti, na misingi hii lazima ilindwe kwa gharama yoyote dhidi ya mtu/ kikundi chochote wenye lengo ovu la kuivunja na kuisababishia Nchi kuingia kwenye vurugu kwa sababu za kutumika tu.
 
Hao watu wa kuingia barabarani, Ni barabara hizi za kwetu hapa Tanzania, au Ubelgiji?

Na atakayeongoza hao watu ni yeye na wale watoto wake na familia yake, au Wabelgiji na Wajerumani?

Huyu alikwisha fahamika kuwa Ni mtu asiye na vision yoyote wala hana agenda ya maendeleo katika Nchi hii.

Huyu anachohitaji ni jukwaa la kueneza uchochezi , chuki, fitina ili Nchi hii iingie kwenye machafuko na kila kitu kizuri kilichoanzishwa kiharibike tukose wote, kwa sababu yeye na hao waliomtuma wanafahamu fika kwamba anatumika tu, hawezi kuchaguliwa kuwa Rais kwa sababu hana chochote cha ku_deliver.

Kwa hiyo, hili halitowezekana kwa sababu tunataka kuendelea kuona watoto wetu wakiwa wanaongozana kila siku asubuhi wakielekea shule huku wakiwa katika hali ya utulivu Kama ilivyo sasa, tunataka kuendelea kuona watoto wetu wakisubiri mabasi ya shule vituoni na kwenye "junctions" wakiwa wanacheka kwa furaha kama ilivyo hivi sasa bila kuhofu milipuko.

Tunataka kuona rasilimali za Nchi hii zikiendelea kulindwa na kuinufaisha Nchi hii na Wananchi wake.

Haya yote, pamoja na masuala mengine muhimu kwa Nchi hii na raia wake, tayari yameshawekewa misingi thabiti, na misingi hii lazima ilindwe kwa gharama yoyote dhidi ya mtu/ kikundi chochote wenye lengo ovu la kuivunja na kuisababishia Nchi kuingia kwenye vurugu kwa sababu za kutumika tu.
Kwani tulipoingia barabarani kwenye mapokezi yake ilikuwa Tanzania au ubelgiji??
 
Anayesema kajisaidieni kwa DC, atampatia mama yake mzazi mwanaume ndo presidential Material???
Sikiliza sifa za mwanaume huyu anayeitwa Magufuli,mnatuletea mtu unproven,erratic na unstable.Ninyi bure kabisa.Te,te,te,te,te...Kweli nimeamini wajinga ndio waliwao.Si afadhali mngemchagua hata yule mtoto wa Wamarekani,labda wajinga wachache wanao-husudu Wamarekani wangemchagua.


 
Ununue zile diaper za kutosha usije ukasema hatukukuonya.. maana nyie akili zenu kuku anasubiri.
Kwani shida iko wapi??? Ili ukombozi wa kweli upatikane lazima wengine tuumie. Ujumbe wetu mwaka huu ndo huo. Kama kushinda mshinde kihalali, mkiiba jiandaeni kutuua wote alafu muishie ICC Kama Laurent Ghabgo
 
Anamtishia mtu ambaye moyo wake uliisha kuwa sugu !!
Yeye ajiandae tu ki ukweli atashindwa vibaya sana, na akileta fyoko atapigika kweli kweli kuanzia yeye mpaka hao wafuasi wake.

Napenda sana Mh. saana Mwenyekiti wangu Magufuli apate tena nafasi kwa miaka 5 kumalizia ngwe yake.

Shauku yangu kubwa ni ili apate kumalizia miradi aliyoianzisha. Haijalishi amebana vipi watu, ila awamu ya pili anapaswa kulenga watu sio vitu na huku akimalizia projects zake.

ILA pia namkubali sana Lissu, uwepo wake ni muujiza unaoishi, na kawaida muujiza huwa hautokei tu kwa bahati mbaya, bali ipo sababu na kusudi.

Nimalizie kuwakumbusha wanaLumumba wenzangu kuwa MUNGU anaishi, anaamua, na yule aliyemridhia ndiye atakayepita.

Wakati wa Mungu unapofika, hakuna cha kuzuia lililo lake (Rejea Mhubiri 9:11).
 
Kwani shida iko wapi??? Ili ukombozi wa kweli upatikane lazima wengine tuumie. Ujumbe wetu mwaka huu ndo huo. Kama kushinda mshinde kihalali, mkiiba jiandaeni kutuua wote alafu muishie ICC Kama Laurent Ghabgo
Ukombozi wa kuwa wanaume wageuzane walane viboga ndio unaita ukombazi wa kweli ...ninamashaka na jinsia yako au ndio wale no gender .
 
Safari hii ni bampa kwa bampa, mkifanya ule ujinga kama wa LUBUVA tunaingia barabarani ili tumtoe kwa nguvu huyo jemedari wenu kama LAURENT GBAGBO.
 
Huyu ndio aina ya mpinzani tuliomsubiri kwa mda mrefu.

Go Lissu, Lissu go we are after you.
 
Hiyo ndio Kauli ya Mh Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye uchaguzi mkuu mwezi October 2020. Ataingiza watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.

View attachment 1526711

My take: Ni mapema Sana kwa mgombea urais kutoa kauli Kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.

Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Angesema nikiibiwa kura namuachia Mungu hapo ndy CCM wangeitika aleluya na I we hivyo.mwaka huu tutashuudia maajabu mawili.Mungu kuiondoa korona na huyohuyo kuhakikisua mshindi wa kweli anatangazwa.Mungu aliwashinda wasiojulikana Leo kafukuza korona halafu mtu alete mchezo.
 
Sidhani kama wananchi watakuwa tayari kuingia barabarani kwa faida za wanasiasa.
Kauli hizi si tu ni hatari kwa usalama wa nchi bali ni hatari hata kwa yeye mwenyewe.
Hekima ya Mwenyezi Mungu inahitajika kumuongoza Mh. Lissu katika mbio za Urais, mtu mmoja hawezi kuwaingiza watu barabarani labda kama kuna mpango waliokwisha kuuandaa muda mrefu.
Keki ya taifa inamanufaa kwa watanzania wote?, Hao unaowatete wamefanya Jambo gani la msingi kwa mwananchi,hatari ipo kwa wananchi kwa maneno aliyotamka sema tunachotaka ni maendeleo thabiti tu
 
Back
Top Bottom