johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,044
- 143,788
Lisu hana hoja
Ccm walio wengi wamefurahia nondo za lissu labda wale ccm mafisadi ndo wanajificha kwenye hoja za muunganoHuyu jamaa ni shida..... Ameshindikana. Kila mtu amejaribu lakini kashinwa. Fatma kanyamaza kabisa baada ya kujibiwa na Lissu. Kimefanyika kikao kujadili hoja zake wakaamua kumtuma Kinana. Naye amepuyanga tu. Lissu hawezekaniki.
Lini tena atahutubia? Sasa sitaki kosa msikia.
View attachment 2981436
Mimo simo bwana.Kwani wewe hukuona anavyomsifia bashite mpaka akiwa kalegea
Mbona wanaogopa kufanya referendum kama wanahisi bado wananchi waupenda muunganoHoja za Lissu zinahitaji utulivu sana kuzijibu. Hata hivyo Kinana amejitahidi ingawa kuna maeneo jibu pekee la hoja za Lissu ni Serikali 1 na Katiba Mpya. Otherwise hakuna anayeweza kuzijibu hata telete Malaika
Acheni kumuona Lisu ni mungu wenu, mbona mnajishushia hadhi nyie chadema. Lisu akitaka hata mkeo si atambongonyoa kwa jinsi mnavyomuona ni mungu. Mbona lisu kilqza tu. Hata darasani mi nilimzidi mbali sanaKama umemsikiliza Mzee Kinana mwanzo mwisho utakubaliana na mimi kuwa Lissu na CHADEMA wana hoja na Mzee Kinana hoja zake ni dhaifu sana kwa mazingira ya hapa kwetu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Kinana kamjibu Lissu kiungwana,Lissu anajua hilo ndio maana baada ya kikao naambiwa kampigia simu Kinana kumuomba yaishe.Kama umemsikiliza Mzee Kinana mwanzo mwisho utakubaliana na mimi kuwa Lissu na CHADEMA wana hoja na Mzee Kinana hoja zake ni dhaifu sana kwa mazingira ya hapa kwetu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Au akili yako ni ndogo sana kumuelewa kinana! Hivi inajua unaweza kiwa na akili ndogo ya kuelewa mambo au kumuelewa mru flani halafu ukamuona yeye ndo kashindwa kumbe we ndo kilazaHuyu jamaa ni shida..... Ameshindikana. Kila mtu amejaribu lakini kashinwa. Fatma kanyamaza kabisa baada ya kujibiwa na Lissu. Kimefanyika kikao kujadili hoja zake wakaamua kumtuma Kinana. Naye amepuyanga tu. Lissu hawezekaniki.
Lini tena atahutubia? Sasa sitaki kosa msikia.
View attachment 2981436
Kwi Kwi KwiKinana kamjibu Lissu kiungwana,Lissu anajua hilo ndio maana baada ya kikao naambiwa kampigia simu Kinana kumuomba yaishe.
Sana atawadanganya tuu,awataje aone kama hataishia gerezani.Lissu mnampoteza nyieNilijua tu Kwa nondo za Lissu huko Lumumba hakutakalika! Hata hivyo ccm bahata yao ni mbaya wameshachelewa! Wananchi tumeshafahamu kila kitu! Na Mh jemedari wetu Lissu tunaomba ututajie na viongozi wa dini waliopewa tenda ya kifisadi ya kuagiza sukari.
Unacheka nini,nitaendelea kukushawishi hadi utaingia ccm tu,we subiri ufisadi wa join the chain tuuweke hadharani.Kwi Kwi Kwi