Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Kwani serikali na polisi ndio walioshambuliwa??..serikali na jeshi la polisi ndio wenye mamlaka ya kufungua kesi hiyo.
..ndio maana ulishuhudia serikali imemshtaki askari aliyemuua muandishi wa habari daudi mwangosi badala ya familia au ndugu za marehemu kufungua kesi dhidi ya askari.