johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Walikuwepo akina Mtemvu, Fundikila, Kasela Bantu, Kasanga Tumbo nk lakini hatimaye walinaswa na mtego wa Chama Dola.
Lakini huyu Kijana Tundu Antipas Lissu Mungu wa Mbinguni amempa Karama ya pekee ambayo ni "Macho ya Rohoni".
Nilimsikiliza juzi pale Vingunguti, huyu Jamaa anaijua Dunia.
Lisu anasema Muwekezaji hanaga Rafiki wa kudumu ambaye ni Mwanadamu bali Rafiki yake wa Kudumu ni "Maslahi Binafsi".
Mungu wa Mbinguni azidi kumjalia Vipawa na Hekima huyu Tundu Antipas Lissu.
Ahsanteni sana.
TAL: Mimi ni Yanga lakini kamwe siwezi kuvaa Jezi 😂