FaizaFoxy unisamehe sana Mama.Ntazitafuta post zako za kumponda FaizaFoxy kila alipokuwa akiyasema hayo aliyoyasema Lissu jana na mengine. Nyerere niliwahi kusema humhumu JF ni ndumila kuwili.
Nyerere kuhusu Muungano wa Zanzibar alifata maelekezo ya Kanisa. Ngoja na Tundu Lissu aitwe na Kanisa muone kama hajabadilika, mtakuja kunambia humuhumu JF.
Kama leo mnavyodiriki kukubali maneno ya FaizaFoxy kwa kuwa tu yametoka kinywani mwa Tundu, basi iko siku mtayakubali na haya ya shinikizo la Kanisa. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Nyerere alikuwa binadamu na hata yeye binafsi aliwahi kukiri alifanya makosa katika utawala wake. Tatizo lako wewe mwanamke ni kumtazama Nyerere kidini badala ya kisiasa na kujenga hoja za staha badala ya matusi. Lissu kamtazama Nyerere kisiasa na ka ainisha baadhi ya kasoro za utawala wake hasa suala la muungano. Nakubaliana na Lissu ila sikubaliani na matusi yako dhidi ya Nyerere (au mtu mwingine yeyote) pamoja na udini wako.
kitendo cha tundu lisu kumtukana nyerere kimewasikitisha sana dr.slaa na mbowe
Mtoa mada acha uongo na kupindisha maneno hakumsema nyerere.kuwa ndiye aliishi kwa uwongo! Alichosema ni kuwa uongoz wa sasa unaish kwa uongo na hawataki ukwel!! Kama ulikuwa unaangalia tv unakunywa viroba ndo athari zake.usijitafutie umaarufu upendwe kwa sifa za kijinga.tv kila mtu aliangalia kwenda zako ndo maana una mdomo mweus kumbe mfitin mkubwa.lete hoja zenye mashiko.pole sana kwa ubongo wa naz
Upo sawa kabisa,watu wanajaribu kurembaremba ata pasiporembeka.Kama muungano ulisukwa bila kufuata taratibu zilizokuwepo au walizokubaliana,hapa suspect wa kwanza ni Nyerere,huwezi sema hilo bila kukubali kuwa Nyerere alikosea.Nimekumbuka hadithi moja, mfalme , sijui ilikuwaje? Akawa anatembea uchi na kila mtu akawa anamwambia nguo yake ni nzuri na anapendeza. Mpaka mtoto mdogo aliporopoka na kumuuliza baba yake aliyekuwa amembeba, kwa nini mfalme anatembea uchi?
waliokuwa karibu wakatahayari! Hizi hadithi kumbe ni Reality na zinafundisha!
Huyu mganga njaa anaropoka kuwafurahisha MABWANA, lakini akumbuke kuna leo na kesho..........atapata hizo helkopta na nini.......lakini mwisho wake ni nini ?
Hapo tu alipo amebakiza muda mfupi sana ataanza kubeba makopo......sijui ni wangapi wanadhani jamaa yupo timamu upstairs.
Mkuu.
Mbona ya Shivji , Mwakyembe na ya ma Proff. Hukuyasema.
Wale wale ambao hamsomi bible nzima, mnarukia viji mistari tu ili kujenga hoja zenu mfu.
By the way Lissu kaongea uongo kwani ?
Mkataba wa Muungano ni lini Serikali ya Kuanzia Nyerere mpaka JK ulipelekwa UN ?
Kuanzia janq binafsi nimeanza kumtizama the late Julius kwa jicho la tatu.
No wonder all the Problems we have now source yake ni yeye.
Mkuu, ninashukuru kwa kunisaidia kwa sababu kuna wengine hawawezi hata kujenga hoja ndani ya hoja. Kama baadhi ya watu wanashindwa kuelewa hata mantiki iliyowazi. Sishangai kuona suala la katiba kwa kiwango kikubwa limekuwa ni suala la vyama vya siasa pekee huku kundi kubwa la watu likikubali kila kile kinachofanywa na viongozi wao wa kisiasa ndani ya bunge Maalum.Alichoandika mleta mada yupo sahihi, nina mashaka na wewe unayetaka kumpinga kama kweli uliuona uwasilishaji wa hoja za Tundu Lissu. Na kama ulitazamana basi nachelea kusema kuwa uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana.
Ila una nafasi pia ya kusoma magazeti ya leo na thread nyingine hapa JF zinaweza kukufumbua.
Lisu huwa mropokaji hana hoja za kujenga kwenye mijadala yake dawa ya lisu ni huyu dogo anamfahamu vema akimuona hunywea kabisa.
Sasa lissu ataaitwa msaliti...maana amekinzana na viongozi wake..wao reference kubwa huwa mwalimu sasa leo wakienda mikutanoni dr slaa akamsifia mwalimu lissu atasemaje? Hii ndo contradiction ya chadema...huwa hawana kauli kama chama.
U
FaizaFoxy unisamehe sana Mama.
You were right kuhusu Nyerere.
Ila kwa suala la Kanisa hapana aisee.
Hili nalichukulia kama muendelezo wa udini wako na chuki zako kwa kanisa.
Btw, ni nini hasa msingi wa chuki zako kwa CHADEMA na mapenzi yako kwa CCM ambaye muasisi wake ni Nyerere ambaye ndo huyoooooo....
Sasa lissu ataaitwa msaliti...maana amekinzana na viongozi wake..wao reference kubwa huwa mwalimu sasa leo wakienda mikutanoni dr slaa akamsifia mwalimu lissu atasemaje? Hii ndo contradiction ya chadema...huwa hawana kauli kama chama.
Mh. Tundu Lissu yeye amesimama kwenye hoja kwa jinsi anavyomuona Mwl. Nyerere katika siasa zake za kigeugeu.
Kama kuna watu wanafuata watu, well, Tundu Lissu atakuwa amewachanganya kwa sababu hawasimami kwenye nguzo ya hoja.