Lissu: Baada ya Nyerere aliyefuatia kwa ushawishi alikuwa Lowassa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,246
Screenshot_2024-02-12-21-32-38-1.png

Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .

Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .

Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu leo amefika msibani nyumbani kwa hayati Lowasa na kusaini Kitabu cha Maombolezo

Lisu akiwa na Walinzi wake alionekana Kuwa mtulivu na mwenye huzuni moyoni

Rip Edward Lowasa

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu

Mlale Unono
 

Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .

Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .

Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
Yeye Lissu wa ngapi Kwa ushawishi?
 

Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .

Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .

Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
Mbona hujaandika kama amesema kuwa ni mwanasiasa aliyekuwa upinzani na akapata kura nyingi za Urais kuwa kutokea….
 
Back
Top Bottom