Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Tusubiri, ukweli ukidhihiri uongo hujitenga. Kumbuka juzi, Sitta ingawa yupo busy bungeni lakini kaitwa na Pengo na kaenda mbio-mbio, jiuliize kunani?
Sita hakuitwa na Pengo.
Yeye mwenyewe ndio alimtafuta.
Na sio Pengo tu alenda pia kuonana na Mufti.
Unafaidika nini hasa na chuki zako za kidini Lakini ?