Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Wewe mwanamke wa mjumbe unafuatilia kampeni za Chadema kwa ukaribu zaidi kumzidi hata John PambaluVp mbona mwaka huu akuna helcopter,au ipo gereji ya buza inafanyiwa matengenezo?
Wewe mwanamke wa mjumbe unafuatilia kampeni za Chadema kwa ukaribu zaidi kumzidi hata John PambaluVp mbona mwaka huu akuna helcopter,au ipo gereji ya buza inafanyiwa matengenezo?
Kwa hiyo Kuna watu na viwiliwili vya watuHii ndio mikutano inayohudhuriwa Na mioyo ya watu, sio viwiliwili vya watu.
Magwiji wa siasa wanakadiria.....Mikutano mikubwa ya kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ), ambaye magwiji wa siasa nchini Tanzania wanamkadiria kushinda kiti hicho kwa zaidi 70% inaendelea tena , na leo ikiwa ni zamu ya Jimbo la Tabata Segerea.
View attachment 1552822
UPDATES
Tabata Liwiti - Segerea
View attachment 1553352View attachment 1553353
View attachment 1553346
Hivi uongo unawasaidia nini? Unafiki, ukatili, wizi, ufisadi na sasa mnaongzea na uongo, duh!Wameamua kufuta video zao youtube zilizokuwa zinaonyesha mkutano wa Segerea, ha ha ha.
CCM popote anaenda ajue tupoAibu aibu 😂😂😂
Lissu kweli atafanya kampeni Tz nzima au ataishia Arusha mjini, Mwanza mjini na Mbeya mjini?
we hapo unamuona Lowasa kweli au umechanganyikiwaHiyo picha ya kwanza ambayo background kuna picha ya Lowasa , Chadema mnaitumia sana , sijui mnajaribu kumdanganya nani.
Anyway tuendelee kukichangia chama chetu cha HAKI UHURU NA MAEDLNDELEO, CHADEMA.
28 OKTOBA IENDE IKAFE RASMI.
Picha ni moja tu brother??
Em nyingine bro
Inshu sio kuzisikia hoja bali, ni kuzijibu hoja hizo nzito za Mh. Tundu lissu.Hizo hoja tumeshasikia tangu zamani sana!
Alete vitu vipya!
CCM popote anaenda ajue tupo
Chadema hii ya Lisu wanaogopa kutuma pichaHa ahaaa....
CDM wanaona aibu kum post Lissu na mikutano yake, ngoja sisi tumsaidie ...
Wameshapoteana hawa wana subiri kiki ya Maalim Seif tar 11 Sept Pemba mwisho wa kuteua wagombea huko.
Wewe dada huna mkunaji nije nikukune?Wameanza Jana Baada ya sisi Wana jamii forums kuwakomalia walikuwa wakipiga porojo tu tukawakomalia humunkuwa Hakuna acheni ujinga ndio waneanza kuzitoa
Mbagala walipiga porojo tu
Kamanda haya matusi hayatamsidia Lisu kuongeza kura!Kisa mamaako
Hiyo ndio itasaidia Lisu kupata kura nyingi zaidi ya MagufuliWewe dada huna mkunaji nije nikukune?
Mimi babako kijana kuwa na adabu.fake id yangu isikufanye unikosee adabu.Wewe mwanamke wa mjumbe unafuatilia kampeni za Chadema kwa ukaribu zaidi kumzidi hata John Pambalu
Kama bunge halijui bei ya ndege ndo itakuwa hao ATCL?? Wao wameletewa tu , unawaonea bureKila kinachonunuliwa na serikali unajua bei yake?? Ukitaka kujua nenda ATCL au Wizara ya Fedha. Kila mtu na kazi yake wewe fanyakazi yako huwezi jua kila kitu unaweza kufa na stress tu.
Ile sio mali ya ccm kwamba kuuliza bei ni kosa ..acha unaa wee pimbiUelewa wako ni mdogo sana kwani hizo ngonjera za ndege za ATCL umeanza kuzisikia leo?? Walishasema maneno mengi sana hata pia Lissu alishashirikiana na mabeberu kuzikamata huko Canada na South Africa! Kwani kuuliza bei ndiyo hoja? mbona haulizi vitu vingine? Kama unataka kubwabwaja kama Lissu na wanasaccos wewe endelea tu! Eti mpaka umeanzisha uzi kwa sababu ya bei ya ndege za ATCL kwa taarifa yako Shirika la Kutengeneza hizo ndege lilishatoa bei ya ndege hizo walizonunua Serikali wala siyo kitu kipya labda wewe ulikuwa bado uko shule ndiyo maana unaona kitu kimpya sana!!