IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Yani chadema nzima mmepiga picha moja tu
Yani chadema nzima mmepiga picha moja tu
Kwenye majibu yako umehusisha katiba yetu?Tulishamjibu akaanza kutukana ndiyo maana tunajibu mapigo!
Wewe mbona hurudi kwenu Burundi unang'ang'ania hapo kwenu koromitdje?Hivi Tundu haogopi corona na mikusanyiko yote hiyo ya watu?
Ovyoo saa 12 ndio anaanza mkutano wamekodi na shekh wa mtaa, halafu FFU wakiwatimua muanze kulalamika
Ikikuumiza kajinyongemtoa habari gani usiye na uhakika hovyo kabisa
Na Arusha unga LTD atahutubia Leo Kama Godbless Lema anavyotangaza?
Tatizo lako ni kumezeshwa cd kutoka lumumba, mwenzako Makonda jana kaonjeshwa harua ya kujikombaChadema wenyewe wanapenda faulo wanaambiwa semeni sera zenu wanaporomosha matusi
Hiyo ndio picha inaficha aibu angalau, nyingine zote majanga tupu. Yaani saivi hata wagombea Ubunge hawataona faida ya mgombea urais Lissu kuja kwenye majimbo, maana hana ushawishi wala mvuto wowote sana sana atawapitishia mabakuli na kuwaongezea gharama za mkutano wake.Yani chadema nzima mmepiga picha moja tu
Kumbe taarifa za Chadema mnazo?Matapeli ninyi Moshi Godbless Lema anasema Leo Lisu anatikisa Arusha mjini viwanja vya unga LTD atajigawaje Wakati Mkutano muda Ni ule tusaidie mleta mada
Chadema mumebobea kwenye uongo
Hawawezi kukuletea picha iliyopigwa tokea juu!! Lazima iwe iliyopigwa chini yaani facial photo, wanaogopa aibu. TBC1 waliwafukuza baada ya drone yao kupiga picha ya juu huko Mbagala wakaonekana watu kiduchu. Haraka wapambe wakakimbia kwenda kwa Mwenyekiti Faru John wakamweleza awafukuze lasivyo wataaibika duniani. Waambie walete picha ya juu kama ya jana huko Dodoma uone mapovu yao!Yani chadema nzima mmepiga picha moja tu
Marehemu Deo Njombe mlitaka ihamishiwe kwa LissuVp mbona mwaka huu akuna helcopter,au ipo gereji ya buza inafanyiwa matengenezo?
Aibu aibu 😂😂😂Wameamua kufuta video zao youtube zilizokuwa zinaonyesha mkutano wa Segerea, ha ha ha.
Sijakuelewa!Kwenye majibu yako umehusisha katiba yetu?
Jibuni hoja za kuhusu ndegeSijakuelewa!
Hiyo picha ya kwanza ambayo background kuna picha ya Lowasa , Chadema mnaitumia sana , sijui mnajaribu kumdanganya nani.Mikutano mikubwa ya kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ), ambaye magwiji wa siasa nchini Tanzania wanamkadiria kushinda kiti hicho kwa zaidi 70% inaendelea tena , na leo ikiwa ni zamu ya Jimbo la Tabata Segerea.
View attachment 1552822
UPDATES
Tabata Liwiti - Segerea
View attachment 1553352View attachment 1553353
View attachment 1553346