Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 732
- 2,154
Habari Wakuu!
Ijapokuwa 2020 nilimpigia kura Tundu Lissu ila moyoni sikuwahi kuamini watu wa misimamo mikali like him wanaweza kumake as good President.
Tundu Lissu mbali na CV ya uadilifu iliyotukuka, misimamo yake juu ya demokrasia pamoja na uzalendo wake usioweza kutiliwa shaka; ila bado naamini sio Presidential material anayeweza kuuzika kwa makundi ya rika zote na akazuika vizuri.
Personal, naiona Kabisa nyota ya John John Mnyika ikiendelea kupaa, utulivu wake kwenye kujenga hoja, kiufupi sifa njema alizonazo Tundu Lissu Mnyika anazo ila huyu ana utulivu na atafaa sana kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Upinzani
Kwahiyo wakati Mnyika akiwa mgombea urais, upande wa Pili John Heche akiwa amebeba mikoba ya Ukatibu Mkuu wa Chama, hakika tunaweza kuona Chadema mpya inayoweza kuchukua hata dola au kuongeza wabunge wengi zaidi bungeni 2025.
Ijapokuwa 2020 nilimpigia kura Tundu Lissu ila moyoni sikuwahi kuamini watu wa misimamo mikali like him wanaweza kumake as good President.
Tundu Lissu mbali na CV ya uadilifu iliyotukuka, misimamo yake juu ya demokrasia pamoja na uzalendo wake usioweza kutiliwa shaka; ila bado naamini sio Presidential material anayeweza kuuzika kwa makundi ya rika zote na akazuika vizuri.
Personal, naiona Kabisa nyota ya John John Mnyika ikiendelea kupaa, utulivu wake kwenye kujenga hoja, kiufupi sifa njema alizonazo Tundu Lissu Mnyika anazo ila huyu ana utulivu na atafaa sana kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Upinzani
Kwahiyo wakati Mnyika akiwa mgombea urais, upande wa Pili John Heche akiwa amebeba mikoba ya Ukatibu Mkuu wa Chama, hakika tunaweza kuona Chadema mpya inayoweza kuchukua hata dola au kuongeza wabunge wengi zaidi bungeni 2025.