DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,606
- 17,794
Baada ya kuibuka Mnyukano ndani ya Chama na sintofahamu mbalimbali baina ya Viongozi wa chama na Baadhi ya Wanachama.
Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.
Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.
Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"
Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"
Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake
Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.
Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.
Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"
Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"
Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake