Tundu Lissu: CHADEMA kuna tabia za ovyo zimeanza kujengeka kwa baadhi ya watu; ukikosolewa unasema umetukanwa unatuma chawa kushambulia. Kwanini?

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,606
17,794
Baada ya kuibuka Mnyukano ndani ya Chama na sintofahamu mbalimbali baina ya Viongozi wa chama na Baadhi ya Wanachama.

Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.

Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.

Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"

Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"

Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake

Screenshot_20231030-133533.png
 
Ameongea point siyjaona baya
Nani wa kumfunga paka kengele. Mwenyekiti anakula kote kote huku akirudisha juhudi za mapambano ya makamu nyuma.

Makamu nae hana ujanja wa kumfunga paka kengele yakaja kumkuta ya Chacha Wangwe na kina Zito. Hivyo anaona cha kufanya ni kurusha madongo ya mbali na mafumbo ya hapa na pale kama hivi, lkn vyote havina impact yoyote.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    9.7 KB · Views: 4
Nani wa kumfunga paka kengele. Mwenyekiti anakula kote kote huku akirudisha juhudi za mapambano ya makamu nyuma.

Makamu nae hana ujanja wa kumfunga paka kengele yakaja kumkuta ya Chacha Wangwe na kina Zito. Hivyo anaona cha kufanya ni kurusha madongo ya mbali na mafumbo ya hapa na pale kama hivi, lkn vyote havina impact yoyote.
Sawa dada angu
 
Nani wa kumfunga paka kengele. Mwenyekiti anakula kote kote huku akirudisha juhudi za mapambano ya makamu nyuma.

Makamu nae hana ujanja wa kumfunga paka kengele yakaja kumkuta ya Chacha Wangwe na kina Zito. Hivyo anaona cha kufanya ni kurusha madongo ya mbali na mafumbo ya hapa na pale kama hivi, lkn vyote havina impact yoyote.
Ni ngumu sana kugundua kuwa anayekusaliti ndo mwenyekiti wako 🤣🤣
Maana huna cha kumfanya
 
Baada ya kuibuka Mnyukano ndani ya Chama na sintofahamu mbalimbali baina ya Viongozi wa chama na Baadhi ya Wanachama.

Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.

Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.

Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"

Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"

Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake

View attachment 2797867
na yeye Lisu aache tabia ya kuhojihoji pembeni masuala ya fedha za join the chain, na matumizi ya kawaida ya chama. Aache kuulizia siju ma-hillux ya M4C yako wapi, huo ni uchochezi akati anayaona ma2 mabovu yamepaki kabisa pale HQ.

Pia akaushe kabisa kuhusu kuhojihoji issue za wabunge wa Covid19, tutatibuana.
 
na yeye Lisu aache tabia ya kuhojihoji pembeni masuala ya fedha za join the chain, na matumizi ya kawaida ya chama. Aache kuulizia siju ma-hillux ya M4C yako wapi, huo ni uchochezi akati anayaona ma2 mabovu yamepaki kabisa pale HQ.

Pia akaushe kabisa kuhusu kuhojihoji issue za wabunge wa Covid19, tutatibuana.
Kwahyo asiseme ukweli
 
Baada ya kuibuka Mnyukano ndani ya Chama na sintofahamu mbalimbali baina ya Viongozi wa chama na Baadhi ya Wanachama.

Jambo hilo limemuibua Makamu Mwenyekiti Bara akielezea sintofahamu hizo.

Hali hii imetokana na wiki kuibuka mnyukano kati ya Mariastella na martin na Ntobi kurushina maneno machafu mitandaoni mpaka kufikia kutoleana siri za chama.

Hata hivyo muheshimiwa Lissu kasema kwamba: "Ukiona mtu anashambulia kundi lolote linalofanya harakati za kutafuta haki nchini, huyo mtu anafanyakazi ya CCM, na anafanyakazi ya shetani"

Lissu aliendelea kusema kuwa: "Tunahitaji umoja wa makundi yote bila kubezana, lazima tujitofautishe na na kauli zinazofanana na CCM, ukikosolewa unasema umetukanwa, unakuwa na chawa wa kushambulia, CHADEMA lazima tukosolewe, kwa sasa tumekuwa chama kikubwa kuna vitabia vya hovyo vimeanza jengeka kwa baadhi ya watu, hatukuwa na hizi tabia huko nyuma"

Kwakuwa bado anaendele kuhutubia nitaleta Update kwa kadri ya maneno yake

View attachment 2797867
Uzuri wa Lissu ukizingua huwa hakuachi, CHADEMA wanapenda kuikosoa CCM ila wao wakikosolewa sasa,utatukanwa matusi hujawai kusikia.They are always right!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wa Lissu ukizingua huwa hakuachi, CHADEMA wanapenda kuikosoa CCM ila wao wakikosolewa sasa,utatukanwa matusi hujawai kusikia.They are always right!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kuporomosha matusi kwa umahiri, bidii na ustadi mkubwa ndio utambulisho na ushujaa wa hii chama......

kama huna tabia ya mitusu basi bado hujaiva na utaonekana useless......
 
Back
Top Bottom