PamojaShukrani kwa ufafanuzi.
Naona ndio mnampa pole leo kiaina kwasababu ya zile risasi.
Kusema Lissu anaishi maisha ya shida lazima muonekane vichaa kwenye hii jamii yetu iliyostaarabika, mtu msomi wa aina yake hizo shida azipate wapi?!
Sawa tajiriiLisu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Tangu lini kuishi ukimbizini ikawa raha? Acheni kujifariji..jamaa ana maisha ya shida kuliko nyie wafuasi wake. Ila subirini naamini atawakomboaNaona ndio mnampa pole leo kiaina kwasababu ya zile risasi.
Kusema Lissu anaishi maisha ya shida lazima muonekane vichaa kwenye hii jamii yetu iliyostaarabika, mtu msomi wa aina yake hizo shida azipate wapi?!
Shida hiyo imesababishwa na wewe na wao.Lisu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Kama utopolo wa kutaka kukatisha Manisha yake.Utopolo tu!!!
Wewe unayemlisha na kumvalisha yeye na familia yake hauna sababu ya kumuumbua, mungu mdogo akubariki.Lisu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Mkuu hivi hapa anaejiliwaza na yupi? Bavicha au lumumba?Bora ametolea ufafanuzi lumumba waache kujiliwaza...
Wewe ndio mjinga mjinga kama huyo mjinga mwenzio aliekwambia Lissu kwenda ICC ndio mapambano ya kutafuta katiba mpya yatasimama.Mkuu hivi hapa anaejiliwaza na yupi? Bavicha au lumumba?
Ni kwa vile tu chadema ina wafuasi wajinga wajinga lakini kama wangekuwa na akili wangeachana na na huu ujinga wa kesi ya icc badala yake wangejikita kutafuta katiba mpya itakayounda tume huru ya uchaguzi basi!
Basi endeleeni mkuu nyie ni werevu sana, mie ni mjinga mjinga!Wewe ndio mjinga mjinga kama huyo mjinga mwenzio aliekwambia Lissu kwenda ICC ndio mapambano ya kutafuta katiba mpya yatasimama.
ICC ilikuwa zuga tu hata Lowassa naye alisema atapeleka kesi ICJ.Aliyekuwa mgombea uchaguzi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHDEMA Tundu antipas Lissu amejitokeza na kutolea ufafanuzi kadha kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa kesi huko mahakama ya uhalifu ICC dhidi ya Serikali ya Tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2020.
Msikilizie kwa undani
Sijui kama werevu na wapumbavu huwa wanakutana njia moja, ngoja tuone kama itatokea.Basi endeleeni mkuu nyie ni werevu sana, mie ni mjinga mjinga!
Tukutane 2025
Lowasa ni mwanasheria?ICC ilikuwa zuga tu hata Lowassa naye alisema atapeleka kesi ICJ.