Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Alishamaliza kulihutubia security council. Jamaa anawafanya kmaa wehu vile. Zamani sikulioenda neno nyumbu kulitumia sasa naamini linawafaaHata hawajui kuwa, jamaa ndiyo huyo anaenda kuwa UN - General Secretary wao.
Yale yale ya yule mama wa NIMR (Malecela), unaharibu utu wa mtu mwisho wa siku, Mungu muumba anamwinua na kumrejeshea heshima ya utu wake.