KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,945
- 9,458
Tuheshimu utawala na sheria!S
Sheria na katiba zinaruhusu mikutano ya siasa mbona mtukufu malaika toka chato kapiga marufuku?
Tuheshimu utawala na sheria!S
Sheria na katiba zinaruhusu mikutano ya siasa mbona mtukufu malaika toka chato kapiga marufuku?
Ushahidi kamili sii uko kwenye Clip ya CCTV mbayo mnayo? na wahusika na mpango huo sii ni wale wenye authority ya kuwaambia walinzi waondoke lindoni? Yule ni mwanasheria anajua ajibu namna gani maswali ya ushahidiYeye kaulizwa Kwenye Mahojiano Nani alimdhuru kashindwa kutaja kwa ushahidi Mwenzangu Na Mie unakurupuka kutaja taja majina ya watu pasi Na ushahidi
Mwenye masikio na asikieLawama zote ni kwa mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite toka kolomije kwani bila wao kumpiga kwa Risasi leo hii Tundu Lisu asingekuwa huko America, chanzo cha Tatizo ni viongozi wachache huko CCM ambao wana roho mbaya wamekariri kuwa watakuwa madarakani milele na kusahau kuwa walikuwepo viongozi wanyama kuliko wao na leo wapo wapi? Bokassa, Abacha, chiluba, sadam Hussein, Gadafi, mabutu, Iddy Amin dada na yule msaidizi wake aliyeitwa colonel Maliyamungu ambaye alikuwa na roho mbaya kama ya cyprian Musiba na Daud Arbaty Bashite wapo wapi leo? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni aibu kubwa.
Mungu mbariki Tundu Lissu
Ni ujinga mkubwa sana kufananisha Ziara ya Lissu aliyealikwa na Bob Wine aliyeenda kutibiwa
Mungu anaeitwa Yehova. Ww Mungu wako anaitwaje jina lake.Mungu yupi? Mungu wako peke yako?
sihangaiki na kapuku kama wewe
CCM wamesahau kuwa bila unyama wao leo hii Tundu Lisu asingekuwa huko America, lawama zote zimwendee Daud Arbaty Bashite aliyekwenda Dodoma na kikundi chake kumpiga kwa Risasi.
Taarifa nilizozipata ni kwamba wauwaji wamechanganyikiwa
Maisha ni upepo ubadilika,Mugabe akutegemea kuna siku atasapoti upinzani ushinde hali yeye ndo kaweka vikwazo akiwa madarakaniUle msemo wa ukimpiga chura take,unamuongezea mwendo HAKIKA nimeuamini!
na pia,ule msemo wa Yote mema yawe mazuri au mabaya HAKIKA nao nimeuamini!
Lissu alipata mabaya lakini,katika hayo mabaya amekuja kuwa mtu,Hodari na tishio kuliko mwanzo katika utawala wa Jiwe!
wadhani ATAKUFA lakini ni Kama wqmemuongezea mwendo wa kufikia kweli...
Mungu awe na WEWE Mh;Lissu!
Bila shaka hata swala la Mbowe na mwenzake nalo litageuka mema siku za mbeleni!
coz hakuna aliyejua kuwa,lissu atatoka mzima na hakunaga aliyetambua kuwa. atakuwa mtu wa wapendq haki,kweli na umoja!
Wakati mwingine jitahidi kuficha upumbavu wako kidogo, utalii wa kivipi? Kwani bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga kwa Risasi angekuwa huko leo?utalii wa nje...hongera sana Mhe kwa kufanya utalii mzuri sana na familia yako.wakati ndiyo huu na wajinga ndiyo waliwao