Pumzi inaelekea kwisha?Heri kuishi kama mbwa Ulaya-By Baba Ubaya
Hiyo comment yako inaashiria hivo.
Pumzi inaelekea kwisha?Heri kuishi kama mbwa Ulaya-By Baba Ubaya
kama unatuhurumia si ungeanza kujihurumia wewe kwanza maana na wewe umeacha ya msingi uko humu Lisu kawashika pabaya sanaNawahurumia, mnaacha mambo ya msingi mnashangilia TL kufika Marekani, atatalii sana sana, nanyi endeleeni kumshangilia, hii nchi mtakuwa mnasikia bombani tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga kujibiwa ni ruksa
Mpaka sasa Le mutuz kaleta waganga wa kienyeji 65 toka mataifa mbalimbali wanatumia pesa za umma kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na Tija kwa Taifa badala ya maendeleoNamkubali Lissu sana. Ila chonde chonde Kaka yangu weka akiba ya maneno....punguza ukali kwa maneno yako, usiwamange sana viongozi na serikali yako. Just put it in simple language...hakuna demokrasia.
Kumbuka wewe ni muujiza unaoishi, uwepo wako na uhai wako ni pigo kubwa kwa mtesi wako.
Waliokupiga wana maumivu makali kuliko maumivu uliyopata, na hapo bado karma haijafanya kazi ipasavyo.
Mnajitekenya. TusubiriMtu pekee aliyepo wakati sahihi na kumng'o jiwe na company yake kwa wakati sahihi!!!
Go Go Go Hon:Lissu our next president!
Umesahau usemi "Never urgue with a fool; people might not notice the difference".
Ungekaa kumya tu!
Tena nawashaur wapinzan wakifanikiwa kumng'oa jiwe na panya buk wenzake hakuna kupokea panya yeyote yule kundini iwe zam yao kukiona cha mtema kuni wapumbavu kabsa hawa wameifanya nchi kua shamba la bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa!!Hiyo ndoto yako utaiota hadi utachoka.. si kwa upinzani koko wa nchini hapa.
Sheria na katiba zinaruhusu mikutano ya siasa mbona mtukufu malaika toka chato kapiga marufuku?Sheria na katiba ya nchi lazima vitekelezwe na wasimamia sheria hivyo there is no point being talkative!
Hafu inakera mtu anapotumia calories kibao kwa hisia huko mjadirishaji ukimuona kabisa kuwa hajadaka point hata moja. Kuvimba uso sasa kunatuumbua kama nchiLisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Wewe ndiyo ukae kimya maana wewe ni juha wa kutupwa hajielewi ingawa pengine huko ccm wanakuona ndiyo mjanja wao.
Ni ujinga mkubwa sana kufananisha Ziara ya Lissu aliyealikwa na Bob Wine aliyeenda kutibiwaBob Wine of Uganda did the same....what happened?nothing ...Museveni bado yuko anadunda
Watapata tabu sanaMh. Lissu amewasili Washington D.C. leo salama akiwa ameongozana na mke wake. Mh. Lissu ataanza ziara yake kesho Jumanne, February 5, 2019.
Kesho asubuhi amepangiwa kuzungumza katika Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo katikati ya mji mkuu wa Marekani, Washington D.C. Mada ya mazungumzo haya ni *“Tanzania’s Democratic Challenge.”*
Jenniffer Cooke, The Instute for African Studies (IAfS) Director, ataongoza mazungumzo haya na mgeni mualikwa Ndugu Tundu Lissu.
Tutaendelea kuwajulisha ratiba yake kila siku hadi mwisho wa ziara yake.
View attachment 1013815
View attachment 1013814
View attachment 1013813
Lawama zote ni kwa mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite toka kolomije kwani bila wao kumpiga kwa Risasi leo hii Tundu Lisu asingekuwa huko America, chanzo cha Tatizo ni viongozi wachache huko CCM ambao wana roho mbaya wamekariri kuwa watakuwa madarakani milele na kusahau kuwa walikuwepo viongozi wanyama kuliko wao na leo wapo wapi? Bokassa, Abacha, chiluba, sadam Hussein, Gadafi, mabutu, Iddy Amin dada na yule msaidizi wake aliyeitwa colonel Maliyamungu ambaye alikuwa na roho mbaya kama ya cyprian Musiba na Daud Arbaty Bashite wapo wapi leo? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni aibu kubwa.Hafu inakera mtu anapotumia calories kibao kwa hisia huko mjadirishaji ukimuona kabisa kuwa hajadaka point hata moja. Kuvimba uso sasa kunatuumbua kama nchi
Siku ya mwisho kila goti litapigwaTena nawashaur wapinzan wakifanikiwa kumng'oa jiwe na panya buk wenzake hakuna kupokea panya yeyote yule kundini iwe zam yao kukiona cha mtema kuni wapumbavu kabsa hawa wameifanya nchi kua shamba la bibi
Sent using Jamii Forums mobile app