Kumekuchaa!!! HOMA YA MAFISADI, WEZI NA WAUAJI imetua Marekani. Tukae mkao wa kula. Tayari watu wameshaanza kuropoka - OOH anyang'anywe uraia, OOh awekwe kizuizini, oohhh, avuliwe ubunge. Hivi wanadhani huyu ni Abdul Nondo? ambaye unaweza kumnyanyasa humu nchini. Hii ni habari nyingine kabisa. Sasa hivi kila ovu watakalolisuka dhidi ya Lissu ndio kwanza wanaongeza CV yake na kuharakisha akabidhiwe nishani ya NOBEL. Tundu Lissu alishapaa na kuondoka ngazi ya nchi sasa anapasua mawingu ya kimataifa. KALAGA BAHO
Kila kitu na wakati wake. Nyerere alikwenda UN kwa sababu tulikuwa PROTECTORATE chini ya UN. Lissu anakwenda Chuo Kikuu kwa sababu wamarekani hoja hujengwa kwenye sehemu kama hizo na kuenea taratibu mpaka kufikia ngazi ya ma-Lobbyst. kinachotakiwa ni kuwahabarisha wamarekani ambao watasukuma vyombo vya maamuzi vifanye kazi yake. hata hivyo sifa ya Tundu Lissu inatangulia mbele yake. Mpambanaji, mtetezi wa kweli wa wanyonge, aliyetetea wachimbaji wadogo waliobambikizwa kesi na Polisi wa CCM, bila kuwatoza malipo. Hilo limethibitishwa bungeni na Hussen Bashe aliyemshukuru kwa kuwatetea wapiga kura wake. Imajini!!!! CCM hamna shukrani wallahi!!! Bashe kawaumbua.Dunia kweli mzunguko. Nyerere alienda kudai Uhuru UN lisu anaenda kudai Uhuru vyuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo Bashite nini mkuu,mbona mwenye jina Alisha likataa we unaumia nini.Sindano chwiiii.Yeye kaulizwa Kwenye Mahojiano Nani alimdhuru kashindwa kutaja kwa ushahidi Mwenzangu Na Mie unakurupuka kutaja taja majina ya watu pasi Na ushahidi
Swafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii saaaaaana...Go lisuuu Goooooo.
In ISIS voice.
Yeye kaulizwa Kwenye Mahojiano Nani alimdhuru kashindwa kutaja kwa ushahidi Mwenzangu Na Mie unakurupuka kutaja taja majina ya watu pasi Na ushahidi
Tena itakuwa vizuri sana hizo kesi zikianza kuunguruma wakati huu, ili apate ushahidi kwamba kweli hii ni serikali ya wauwaji. chutameni, taulo imeanguka watu mko uuuuchiiiiTumewaita wadhamini wake ili tujiridhishe na afya yake ili kesi ya uchochezi inayomkabili tuanze kuisikiliza maana tunaona anazunguka kumbe kapona sasa anahitajika kuja kujibu mashitaka yanayomkabili!! Lol!
Tumewaita wadhamini wake ili tujiridhishe na afya yake ili kesi ya uchochezi inayomkabili tuanze kuisikiliza maana tunaona anazunguka kumbe kapona sasa anahitajika kuja kujibu mashitaka yanayomkabili!! Lol!
Kila kitu na wakati wake. Nyerere alikwenda UN kwa sababu tulikuwa PROTECTORATE chini ya UN. Lissu anakwenda Chuo Kikuu kwa sababu wamarekani hoja hujengwa kwenye sehemu kama hizo na kuenea taratibu mpaka kufikia ngazi ya ma-Lobbyst. kinachotakiwa ni kuwahabarisha wamarekani ambao watasukuma vyombo vya maamuzi vifanye kazi yake. hata hivyo sifa ya Tundu Lissu inatangulia mbele yake. Mpambanaji, mtetezi wa kweli wa wanyonge, aliyetetea wachimbaji wadogo waliobambikizwa kesi na Polisi wa CCM, bila kuwatoza malipo. Hilo limethibitishwa bungeni na Hussen Bashe aliyemshukuru kwa kuwatetea wapiga kura wake. Imajini!!!! CCM hamna shukrani wallahi!!! Bashe kawaumbua.
Lissu, aliyeshambuliwa mchana kweupe, risasi 16 zimeingia mwilini, 15 zimetolewa na moja imebaki ya ushahidi maana mnawezakuja kuzusha kwamba hakushambuliwa. operesheni 22, na bado anawanyima usingizi. BRAVO TUNDU!!!!!
Sheria na katiba ya nchi lazima vitekelezwe na wasimamia sheria hivyo there is no point being talkative!Hizo mbinu za kishamba kishetani zitafeli sana, kwanza kesi zenyewe ni za kubambikiwa ni kesi za magumashi kesi za Uonevu unyanyasaji wa kisiasa Dua zenu za kijinga jinga zitakwama kama mlivyokwama kumuua kwa Risasi.
hata akifanya ujinga vip, hauwezi kufikia ujinga alio ufanya mama ako kukubali kutiwa na kukuzaa ww!! hasala taslimu!!! kwa alie kuzaaa!!!!
Waliyokuwa wanaulizia magongo hayo hapo yanaonekana!Mh. Lissu amewasili Washington D.C. leo salama akiwa ameongozana na mke wake. Mh. Lissu ataanza ziara yake kesho Jumanne, February 5, 2019.
Kesho asubuhi amepangiwa kuzungumza katika Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo katikati ya mji mkuu wa Marekani, Washington D.C. Mada ya mazungumzo haya ni *“Tanzania’s Democratic Challenge.”*
Jenniffer Cooke, The Instute for African Studies (IAfS) Director, ataongoza mazungumzo haya na mgeni mualikwa Ndugu Tundu Lissu.
Tutaendelea kuwajulisha ratiba yake kila siku hadi mwisho wa ziara yake.
View attachment 1013815
View attachment 1013814
View attachment 1013813
Kama tunapoteza muda mbona unakereka wewe ?
kama ziko mitandaoni tu kwa nini viongozi wanahangaika kutoa matamko kumuomba arudi?Aache umbeya kwa watu ulishawahi ona mzungu au mmarekani anazunguka nchi za kiafrika kuongelea matatizo ya nchini kwake kutafuta huruma za waafrika? Mswahili kuzurura kwa wazungu na wamarekani kuongelea matatizo ya nchini kwake ni umbeya.Ndio maana mitaani ukipita Wala watu hawana habari za Lisu Wala mbowe aliye rumande watu wanaendelea na shughuli zao za maisha hawajali Cha Lisu yuko wapi Wala mbowe yuko wapi.Siasa ziko huku mitandaoni tu
Maanadamu haya yametoka kinywani mwako na moyoni mwako, ndivyo ilivyo kwako ww, manake unaelezea uzoefu wako, hongera sana kwa kuwa hivyo!!hata akifanya ujinga vip, hauwezi kufikia ujinga alio ufanya mama ako kukubali kutiwa na kukuzaa ww!! hasala taslimu!!! kwa alie kuzaaa!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app