Tundu Lissu awasili Kituo kikuu cha Polisi Arusha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,788
218,420
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameripoti kwenye kituo Kikuu cha Polisi Arusha Mjini , kwa ajili ya kuendelea kutoa maelezo kutokana na kile kinachoitwa kufanya mikutano bila Kibali huko Ngorongoro Mwezi septemba .

Ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Chake .

Screenshot_2023-11-11-18-38-40-1.png
Screenshot_2023-11-11-18-37-17-1.png
Screenshot_2023-11-11-18-37-36-1.png
Screenshot_2023-11-11-18-37-43-1.png
 
Back
Top Bottom