Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,420
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameripoti kwenye kituo Kikuu cha Polisi Arusha Mjini , kwa ajili ya kuendelea kutoa maelezo kutokana na kile kinachoitwa kufanya mikutano bila Kibali huko Ngorongoro Mwezi septemba .
Ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Chake .
Ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Chake .