Arusha: Lissu amalizana na polisi baada ya kutoa maelezo, alipuka tena kuhusu kwenda Ngorongoro

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,321
24,228
TUNDU LISSU AWASIFIA POLISI

Makamu mwenyejiti baada ya kupata dhamana jana, leo ameripoti kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kama masharti ya dhamana yalivyotaka.

Makamu mwenyekiti Tundu Lissu asifia muelekeo mzuri wa maafisa polisi kituoni kwani wamebadilika.

Kuhusu madai ya msafara wa CHADEMA kuweka kizuizi barabarani, mheshimiwa Tundu Lissu amewafahamisha maofisa polisi waliokuwa wanamhoji kuwa walikutana na watu wasiofahamika wamezuia barabara.

Hivyo wao kama raia walisimama na kuwahoji watu wasiojulikana ni kina nani, vipi wameweka kizuizi barabarani na wakajitambulisha kuwa ni askari, hivyo ikabidi kukabiliana nao kwa kuwahoji watuonyeshe vitambulisho kwa kuwa watu hao wasiojulikana walikuwa wamevaa kiraia.

Na hayo ndiyo maelezo yetu tuliyoandikisha Polisi leo asubuhi anasema makamu mwenyekiti na hivyo tunasubiri hatua zingine ambazo polisi wataona zinafaa kisheria .

Picha hapa chini mapema kabisa leo asubuhi mheshimiwa Tundu Lissu na wenzie waliopata dhamana ya Polisi jana, wakifika kituoni polisi huku wameongozana na Mawakili wao kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kutoa maelezo ya awali
1694436501124.png
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=BJmLzuB9zb8

Makamu mwenyejiti baada ya kupata dhamana jana, leo ameripoti kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kama masharti ya dhamana yalivyotaka.

Makamu mwenyekiti Tundu Lissu asifia muelekeo mzuri wa maafisa polisi kituoni kwani wamebadilika.

Kuhusu madai ya msafara wa CHADEMA kuweka kizuizi barabarani, mheshimiwa Tundu Lissu amewafahamisha maofisa polisi waliokuwa wanamhoji kuwa walikutana na watu wasiofahamika wamezuia barabara.

Hivyo wao kama raia walisimama na kuwahoji watu wasiojulikana ni kina nani, vipi wameweka kizuizi barabarani na wakajitambulisha kuwa ni askari, hivyo ikabidi kukabiliana nao kwa kuwahoji watuonyeshe vitambulisho kwa kuwa watu hao wasiojulikana walikuwa wamevaa kiraia.

Na hayo ndiyo maelezo yetu tuliyoandikisha Polisi leo asubuhi anasema makamu mwenyekiti na hivyo tunasubiri hatua zingine ambazo polisi wataona zinafaa kisheria .

Picha hapa chini mapema leo asubuhi mheshimiwa Tundu Lissu na wenzie waliopata dhamana ya Polisi jana wakifika huku wameongozana na Mawakili wao kituo kikuu cha polisi jijini Arusha
View attachment 2745961

Nilimuona jana katupia Pensi kama Boss fulani wa NewYork
 
TUNDU LISSU AWASIFIA POLISI

Makamu mwenyejiti baada ya kupata dhamana jana, leo ameripoti kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kama masharti ya dhamana yalivyotaka.
View attachment 2745971
Makamu mwenyekiti Tundu Lissu asifia muelekeo mzuri wa maafisa polisi kituoni kwani wamebadilika.

Kuhusu madai ya msafara wa CHADEMA kuweka kizuizi barabarani, mheshimiwa Tundu Lissu amewafahamisha maofisa polisi waliokuwa wanamhoji kuwa walikutana na watu wasiofahamika wamezuia barabara.

Hivyo wao kama raia walisimama na kuwahoji watu wasiojulikana ni kina nani, vipi wameweka kizuizi barabarani na wakajitambulisha kuwa ni askari, hivyo ikabidi kukabiliana nao kwa kuwahoji watuonyeshe vitambulisho kwa kuwa watu hao wasiojulikana walikuwa wamevaa kiraia.

Na hayo ndiyo maelezo yetu tuliyoandikisha Polisi leo asubuhi anasema makamu mwenyekiti na hivyo tunasubiri hatua zingine ambazo polisi wataona zinafaa kisheria .

Picha hapa chini mapema kabisa leo asubuhi mheshimiwa Tundu Lissu na wenzie waliopata dhamana ya Polisi jana, wakifika kituoni polisi huku wameongozana na Mawakili wao kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kutoa maelezo ya awali
View attachment 2745961
Lissu ni shujaa
 
Samia hafai kuendelea kuwa kiongozi wa nchi, hana uwezo wa kujadili hoja na hawezi kusimamia shughuli za umma!
 
Baada ya Lissu kukamatwa jana karatu na kufikishwa central polisi Arusha hivi ndivyo mahojiano ya awali yalivyokuwa.

OCD Arusha: mhe Lissu unatuhumiwa kwa kosa la kifanya mikusanyika isiyo halali na kosa la kuzuia jeshi la polisi kufanya majukumu yake.

LISSU: sheria haikatazi mm kufanya mkusanyiko kinachotakiwa ni kutoa taarifa tu ya kuomba ulinzi polisi na nilifanya hivyo lakini polisi walikataza kufanya mkutano kinyume cha sheria. Polisi hawana mamlaka ya kuzuia mkutano wangu.

OCD: dhamana ipo wazi lakini leo jumapili utasalia mpaka mahabusu.

Lissu: Fungua PGO police general odere namba ya 16 imesema mtu atadhaminiwa muda wowote hakuna cha wikiende kifungu hicho kimeeleza polisi kufanya kazi masaa 24/7 hakuna cha wikiend.

OCD: Haya tafuta wadhamini wawili

Lissu: najidhamini mwenyewe.

OCD: haiwezekani.

Lissu: fungua PGO ukarasa wa 7 namba 13. Ikiwa hakuna kosa kubwa lililofanyika ama tukio baya lilitokea mtu anaweza akajidhamini mwenyewe.

OCD: haya jidhamini lakini kesho jumatatu saa nne uje kituoni kwa mahojiano
 
Back
Top Bottom