Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Hawa Kenge wa CCM na magenge yao wanahitaji mtu kama Lissu.

Lissu endelea na kampeni ili wajue uchaguzi hakuna mchezo. Wakitaka waharibu uchaguzi kabla ya kupiga kura. Kama wanataka amani watende haki,hakuna uchaguzi unaokosa propaganda kama kuna Magufuli ana ngozi laini aachane na siasa.
 
Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?

Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
Kajifunze kwanza kuandika vizuri, unatuchafulia uzi
 
Labda aendelee na kampeni nyumbani sio kwa ardhi ya Tanzania yeye anataka kutuvurugia amani Yetu kwa kuwa ana option ya kukimbilia ubelgiji Sasa ajaribu kwenda kinyume na hiyo hukumu tuone hao wanaompa jeuri Kama wataingia hapa nchini kwetu kumsaidia. Yeye si mwanasheria aende akapambane na wenzie kwenye ulingo wa kisheria Kama angekua mstaarabu afuate utaratibu wa kutatua issue yake kwa amani otherwise sheria itambana kwa sababu alisain
Kuna mvuruga amani zaidi ya Magufuli hapa Tanzania????

Mtu anaewabagua watanzania na kusema wakichagua upinzani hawapelekei Maji huyo si shetani kabisa??
 
Hakuna cha ajabu hapo, Magufuli anatafuta lifti ya tume baada ya kuzidiwa mbio kwenye marathon. Hili lilitegemewa hata kabla.
 
😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali

Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia

naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular

hapa lisu amekurupuka!!
Mwaka huu ‘mbogamboga’ lazima imwagwe, usitutishie nyau!
 
Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Akate rufaa kwa mashitaka yapi?tume imeona magufuli hana uwezo wa kuendelea na kampeni imeamua kufanya uhuni
 
Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Akate rufaa kwa mashitaka yapi?tume imeona magufuli hana uwezo wa kuendelea na kampeni imeamua kufanya uhuni
 
Balua ndio nn we nguchiro???
Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?

Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
 
NEC inamdekeza jiwe kwa kusimamisha kampeni za lisu!!KAMA JIWE NI MGONJWA SI ASEME TU TURUDI CHIMWAGA TUMPATE MTEULE MPYA!!! KWANINI UFIE IKULU KWA PACEMAKER KUFELI???

Wameona Lisu akiendelea na kampeni anaweza kumuua kwa presha..
 
Kama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.

Kubahatisha hakufai

Kwa alivyoshiriki tumeisoma vizuri Tume, kinyume chake tusingalimwelewa

V
 
😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali

Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia

naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular

hapa lisu amekurupuka!!
Siasa za ubabe mwisho mwaka huu
 
Back
Top Bottom