AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,919
- 6,164
Ashughulikiwe barabara. Lissu hayupo juu ya sheria. Tanzania kwanza, kwa gharama yoyote.Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya Tundu Lissu
View attachment 1588241
Ashughulikiwe barabara. Lissu hayupo juu ya sheria. Tanzania kwanza, kwa gharama yoyote.Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya Tundu Lissu
View attachment 1588241
Heshima ni nini?Kwanini lisu Hana heshima kwa tume
Kajifunze kwanza kuandika vizuri, unatuchafulia uziLisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?
Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
Kuna mvuruga amani zaidi ya Magufuli hapa Tanzania????Labda aendelee na kampeni nyumbani sio kwa ardhi ya Tanzania yeye anataka kutuvurugia amani Yetu kwa kuwa ana option ya kukimbilia ubelgiji Sasa ajaribu kwenda kinyume na hiyo hukumu tuone hao wanaompa jeuri Kama wataingia hapa nchini kwetu kumsaidia. Yeye si mwanasheria aende akapambane na wenzie kwenye ulingo wa kisheria Kama angekua mstaarabu afuate utaratibu wa kutatua issue yake kwa amani otherwise sheria itambana kwa sababu alisain
Muulize kwani hao Tume wana heshima kwa Lissu???Heshima ni nini?
Heshima ni tafsiri yako mwenyewe kwakuwa hamna specifications za heshima basi ni whatever you can decide on respect
Wao ni kwa maslahi makubwa ya matumbo yao, pamoja na mabeberu wao.
Mwaka huu ‘mbogamboga’ lazima imwagwe, usitutishie nyau!😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali
Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia
naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular
hapa lisu amekurupuka!!
Akate rufaa kwa mashitaka yapi?tume imeona magufuli hana uwezo wa kuendelea na kampeni imeamua kufanya uhuniAmeambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Akate rufaa kwa mashitaka yapi?tume imeona magufuli hana uwezo wa kuendelea na kampeni imeamua kufanya uhuniAmeambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?
Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
NEC inamdekeza jiwe kwa kusimamisha kampeni za lisu!!KAMA JIWE NI MGONJWA SI ASEME TU TURUDI CHIMWAGA TUMPATE MTEULE MPYA!!! KWANINI UFIE IKULU KWA PACEMAKER KUFELI???
Ili Fatu Bensouda aelewe kinachoendeleaAlafu anaandika kwa kingereza ili beberu wake asikie
Kama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.
Kubahatisha hakufai
Siasa za ubabe mwisho mwaka huu😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali
Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia
naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular
hapa lisu amekurupuka!!