Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,251
Tumwufyaya vipi hapo?
Patachimbika haswa na wafanye uhuni wao waone. Lisu kanyaga hapo hapoo hakun akurudi nyuma. NEC imwite mgombea wa CCM afuta kauli zake na yeye ndo tutaona kweli haki inatendeka.