Tundu Lissu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Tundu Lisu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui. Hana adui wa kudumu na kutokuwa na adui hakujawahi kumfanya awe mnafiki kama walivyo wanasiasa na wanazuoni wengine.

Anapotamka wazi kwamba Magufuli hakuuza nchi kwa mikataba mibovu anasema ukweli. Anaposema Mkapa na Jk waliuza nchi na mifano anakupa.

Hayati Magufuli alikuwa adui wake mkubwa; na hapa amecheza mchezo mkubwa sana kuona kwamba wapo sukuma gang wanahitaji faraja kwa Hayati Magufuli.

Alipoona yupo kanda ya Ziwa kwanza kuwapanga Sukuma Gang na amefaulu kila uzi umejaa maneno ya Lissu. Huyu ni nguli wa kuchanga karata, amebobea kwenye mikakati. Watu wa kanda ya ziwa walimwona Hayati Magufuli kama mkombozi wao; Lisu anatambua ilo na sasa ameamua kwenda Chato kuona kaburi la Magu.

Kwa wataalamu wa fasihi anataka kuwaambia Dunia kwamba hana adui wa kudumu na Dunia nzima itafuatilia tukio la yeye kwenda kwa Hayati Magufuli. Ugumu wa safari yake to Chato ni kwamba anakwenda kumuuliza hivi ndiyo CCM uliyokuwa unaipigania?

Natambua hatapata majibu ila kisiasa anapeleka ujumbe kwamba ukiwa mwanasiasa usiimarishe chama cha siasa kuliko nchi; tengeneza mifumo ya nchi. Hiyo itadumu milele na malengo yako yatakuwa malengo ya Taifa.
 
Kwa kweli speech yake kule Bukoba leo, ilikuwa maridadi sana..

Tundu Lissu ana sanaa (art) na mvuto wa kipekee wa kuzungumza na watu ktk majukwaa ya kisiasa kiasi cha kutamani uendelee kumsikiliza tu..

Ana uwezo mkubwa wa kuelezea jambo gumu kwa lugha rahisi na kila mtu akamwelewa..

Huyu bwana ni mtukutu kwelikweli lakini utukutu wake ni ule uliojaa maarifa na ujanja mwingi wa kukwepa mitego ya kisiasa na kisheria. Ndio maana wakosoaji wake wengi huishia kumtukana tu bila kugusa kujibu hoja zake..

Na wakati mwinge hutumia lugha kali yenye kuchokoza hisia kwa mlengwa anapokosoa jambo au matendo fulani kiasi cha kufikiri unaweza kuzima moto wake kwa kutumia sheria lakini mara zote hakuna awezaye kupata mlango wa kisheria wa kuingilia ili umpate...

I like this man a lot...
 
Tundu Lisu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui. Hana adui wa kudumu na kutokuwa na adui hakujawahi kumfanya awe mnafiki kama walivyo wanasiasa na wanazuoni wengine.

Anapotamka wazi kwamba Magufuli hakuuza nchi kwa mikataba mibovu anasema ukweli. Anaposema Mkapa na Jk waliuza nchi na mifano anakupa.

Hayati Magufuli alikuwa adui wake mkubwa; na hapa amecheza mchezo mkubwa sana kuona kwamba wapo sukuma gang wanahitaji faraja kwa Hayati Magufuli.

Alipoona yupo kanda ya Ziwa kwanza kuwapanga Sukuma Gang na amefaulu kila uzi umejaa maneno ya Lissu. Huyu ni nguli wa kuchanga karata, amebobea kwenye mikakati. Watu wa kanda ya ziwa walimwona Hayati Magufuli kama mkombozi wao; Lisu anatambua ilo na sasa ameamua kwenda Chato kuona kaburi la Magu.

Kwa wataalamu wa fasihi anataka kuwaambia Dunia kwamba hana adui wa kudumu na Dunia nzima itafuatilia tukio la yeye kwenda kwa Hayati Magufuli. Ugumu wa safari yake to Chato ni kwamba anakwenda kumuuliza hivi ndiyo CCM uliyokuwa unaipigania?

Natambua hatapata majibu ila kisiasa anapeleka ujumbe kwamba ukiwa mwanasiasa usiimarishe chama cha siasa kuliko nchi; tengeneza mifumo ya nchi. Hiyo itadumu milele na malengo yako yatakuwa malengo ya Taifa.
Amsema watu wanasema eti anamkosoa Mama kwa sababu ni Mwislam


Lissu amesema alimkosoa Mkapa Mkristoa hadi akamfunga,, alimkosoa Kiketwe na akamkosa Magufuli hadi yakatokea yaliyotokea na alikuwa Mkristo wanaye sali kanisa moja.
 
Tundu Lisu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui. Hana adui wa kudumu na kutokuwa na adui hakujawahi kumfanya awe mnafiki kama walivyo wanasiasa na wanazuoni wengine.

Anapotamka wazi kwamba Magufuli hakuuza nchi kwa mikataba mibovu anasema ukweli. Anaposema Mkapa na Jk waliuza nchi na mifano anakupa.

Hayati Magufuli alikuwa adui wake mkubwa; na hapa amecheza mchezo mkubwa sana kuona kwamba wapo sukuma gang wanahitaji faraja kwa Hayati Magufuli.

Alipoona yupo kanda ya Ziwa kwanza kuwapanga Sukuma Gang na amefaulu kila uzi umejaa maneno ya Lissu. Huyu ni nguli wa kuchanga karata, amebobea kwenye mikakati. Watu wa kanda ya ziwa walimwona Hayati Magufuli kama mkombozi wao; Lisu anatambua ilo na sasa ameamua kwenda Chato kuona kaburi la Magu.

Kwa wataalamu wa fasihi anataka kuwaambia Dunia kwamba hana adui wa kudumu na Dunia nzima itafuatilia tukio la yeye kwenda kwa Hayati Magufuli. Ugumu wa safari yake to Chato ni kwamba anakwenda kumuuliza hivi ndiyo CCM uliyokuwa unaipigania?

Natambua hatapata majibu ila kisiasa anapeleka ujumbe kwamba ukiwa mwanasiasa usiimarishe chama cha siasa kuliko nchi; tengeneza mifumo ya nchi. Hiyo itadumu milele na malengo yako yatakuwa malengo ya Taifa.
Hiyo last paragraph ndiyo itamzuia asipenye getini,

Hawaezi ruhusu aingie kumnanga aliyelala,

Ndomana ni kheri kwake kama angeichapa hotuba Kwa maandishi aende na kuusoma kupitia kipaza sauti.
 
Kwa kweli speech yake kule Bukoba leo, ilikuwa maridadi sana..

Tundu Lissu ana sanaa (art) na mvuto wa kipekee wa kuzungumza na watu ktk majukwaa ya kisiasa kiasi cha kutamani uendelee kumsikiliza tu..

Ana uwezo mkubwa wa kuelezea jambo gumu kwa lugha rahisi na kila mtu akamwelewa..

Huyu bwana ni mtukutu kwelikweli lakini utukutu wake ni ule uliojaa maarifa na ujanja mwingi wa kukwepa mitego ya kisiasa na kisheria. Ndio maana wakosoaji wake wengi huishia kumtukana tu bila kugusa kujibu hoja zake..

Na wakati mwinge hutumia lugha kali yenye kuchokoza hisia kwa mlengwa anapokosoa jambo au matendo fulani kiasi cha kufikiri unaweza kuzima moto wake kwa kutumia sheria lakini mara zote hakuna awezaye kupata mlango wa kisheria wa kuingilia ili umpate...

I like this man a lot...
Product ya Garanoisi na Ilboru.

Jamaa hakusoma ili ajaze tumbo bali aliushibisha ubongo kwanza.
 
Tundu Lisu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui. Hana adui wa kudumu na kutokuwa na adui hakujawahi kumfanya awe mnafiki kama walivyo wanasiasa na wanazuoni wengine.

Anapotamka wazi kwamba Magufuli hakuuza nchi kwa mikataba mibovu anasema ukweli. Anaposema Mkapa na Jk waliuza nchi na mifano anakupa.

Hayati Magufuli alikuwa adui wake mkubwa; na hapa amecheza mchezo mkubwa sana kuona kwamba wapo sukuma gang wanahitaji faraja kwa Hayati Magufuli.

Alipoona yupo kanda ya Ziwa kwanza kuwapanga Sukuma Gang na amefaulu kila uzi umejaa maneno ya Lissu. Huyu ni nguli wa kuchanga karata, amebobea kwenye mikakati. Watu wa kanda ya ziwa walimwona Hayati Magufuli kama mkombozi wao; Lisu anatambua ilo na sasa ameamua kwenda Chato kuona kaburi la Magu.

Kwa wataalamu wa fasihi anataka kuwaambia Dunia kwamba hana adui wa kudumu na Dunia nzima itafuatilia tukio la yeye kwenda kwa Hayati Magufuli. Ugumu wa safari yake to Chato ni kwamba anakwenda kumuuliza hivi ndiyo CCM uliyokuwa unaipigania?

Natambua hatapata majibu ila kisiasa anapeleka ujumbe kwamba ukiwa mwanasiasa usiimarishe chama cha siasa kuliko nchi; tengeneza mifumo ya nchi. Hiyo itadumu milele na malengo yako yatakuwa malengo ya Taifa.
Tundu amesema kazi yake ni kufundisha na kuelimisha watanzania umuhimu wa Katiba Bora.

Amesema hata akiingia madarakani Rais kutoka vyama vingine binadamu sio wa kuamini bila katiba Bora hata Rais wa Chadema anaweza kugeuka.

Watu wakacheka balaa😅😅
 
Mimi CCM lisu ni mkweli saaana na ni mzalendo Hana kashifa Yoyote ya ujanja ujanja
Mbunge wa Jimbo la Mvumi dodoma Mh Lusinde aliwahi kusema wazi wazi kuwa pamoja kwamba Lissu ana mlengo tofauti wa kisiasa lakini ndio Mwanasiasa bora mwenye Uadilifu usio yia shaka.

Tundu Lissu ni Mcha Mungu sana.

Hana kashfa yoyote ya kimaadili
 
Tundu Lisu ana sifa moja kuu, anapenda kujenga hoja bila kuweka chuki au uadui. Hana adui wa kudumu na kutokuwa na adui hakujawahi kumfanya awe mnafiki kama walivyo wanasiasa na wanazuoni wengine.

Anapotamka wazi kwamba Magufuli hakuuza nchi kwa mikataba mibovu anasema ukweli. Anaposema Mkapa na Jk waliuza nchi na mifano anakupa.

Hayati Magufuli alikuwa adui wake mkubwa; na hapa amecheza mchezo mkubwa sana kuona kwamba wapo sukuma gang wanahitaji faraja kwa Hayati Magufuli.

Alipoona yupo kanda ya Ziwa kwanza kuwapanga Sukuma Gang na amefaulu kila uzi umejaa maneno ya Lissu. Huyu ni nguli wa kuchanga karata, amebobea kwenye mikakati. Watu wa kanda ya ziwa walimwona Hayati Magufuli kama mkombozi wao; Lisu anatambua ilo na sasa ameamua kwenda Chato kuona kaburi la Magu.

Kwa wataalamu wa fasihi anataka kuwaambia Dunia kwamba hana adui wa kudumu na Dunia nzima itafuatilia tukio la yeye kwenda kwa Hayati Magufuli. Ugumu wa safari yake to Chato ni kwamba anakwenda kumuuliza hivi ndiyo CCM uliyokuwa unaipigania?

Natambua hatapata majibu ila kisiasa anapeleka ujumbe kwamba ukiwa mwanasiasa usiimarishe chama cha siasa kuliko nchi; tengeneza mifumo ya nchi. Hiyo itadumu milele na malengo yako yatakuwa malengo ya Taifa.

Anasema ataenda kumwombea Hayati Jpm. Sikiliza mwenyewe
 
Hiyo last paragraph ndiyo itamzuia asipenye getini,

Hawaezi ruhusu aingie kumnanga aliyelala,

Ndomana ni kheri kwake kama angeichapa hotuba Kwa maandishi aende na kuusoma kupitia kipaza sauti.
Aichape tu hotuba, anaenda kuwapa pole wanachato.
 
Tundu amesema kazi yake ni kufundisha na kuelimisha watanzania umuhimu wa Katiba Bora.

Amesema hata akiingia madarakani Rais kutoka vyama vingine binadamu sio wa kuamini bila katiba Bora hata Rais wa Chadema anaweza kugeuka.

Watu wakacheka balaa😅😅
This is an undisputed fact..

Kama kuna wanaosuasua kufanya maamuzi sahihi juu ya ishu ya umuhimu wa katiba mpya na bora inayoweka misingi imara, isiyotikiswa kirahisi ya checks & balance of powers wajue kuwa mtego wa panya unaweza kunasa hata kifaranga cha kuku...!
 
Lissu mara zote huwa anasema ukweli kama ulivyo (objective truth) na sio ukweli kama unavyo jitokeza (relative Truth) kitu ambacho wanasiasa wengi Tanzania hawana.

Pia unapaswa kuwa na akili ya ziada kuweza kumuelewa Lisu nje na hapo utamuona kama msaliti na adui wa taifa.
 
Back
Top Bottom