Nadhani Lissu aache tit for tat, hazimsaidii
Watanzania hawapendi arrogance/much know.
Angeweza kupeleka maoni yake kwa mwaanasheria wa chama, kisha Chama kikatoa statement, siyo yeye kuingia front na kuanza malumbano
Lissu ajue kuwa yeye sasa ni potential president inabidi aact presidentially, siyo kama mere activist.
Siyo lazima aseme kila kitu!
Kaa kimya mende wa kijani weweHata wewe ni Kenge subili October tuwa nyooshe.
Najua hata asilimia 20 hatafikisha mugombea wako. Najua unahasira lakini uwe mpole tu sindano ipenye.
Lissu is sharp
Kinachompoza ni kukosa filter au breki kwenye mambo yake
Sometimes sio kila kitu ajibu yeye
Chama kina msemaji
na wewe mkuu!Umechoka wewe na Nani!
We naye punguza kiherere. Mmeulizwa kwa sheria ipi wewe unaleta kiherehere.Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
STFUUmeposti jamvini. Jibu ni halali kabisa. Uliwahi kushangaa huko nyuma kwamba huyu TL atagombea vipi akiwa nje ya nchi. Tukakushauri uvute subira. Jamaa katia timu. Kama una hoja leta ujibiwe.
Jaji kasema hili swala ameiachia mamlaka husikaMimi nampa tu angalizo huyo Mutungi. Amekuwa akifumbia macho uvunjaji wa wazi wazi wa Katiba unaofanywa na uongozi wa juu kabisa wa CCM kwa kofia ya serikali. Halafu leo kama mlevi anakurupuka na matamshi yasiyo na msingi kisheria utadhani hakuona milango ya shule. Safari hii lazima achunge sana ulimi wake asije akaonekana kituko. Kabla ya kumjibu Mh. Tundu Antiphas Lissu atulie na apime kauli zake kabla ya kuropoka hovyo. Ni hilo tu.
Ume argue Kama std 4 yazamani... uskute huko ulaya ni mkata majani kwamtu🙄Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Mi ndo maana nasema upinzani Tanzania kutawala bado Sana,Sasa kilichofanya waongeze ubeti ni nini hasa,?Mi Sina mzuka na CCM lakini uropokaji na kiherehere Cha upinzani kinaboa na vinawaponza kila siku hawakomi.Hadi wanaonekana kama wahuni tuu.
Kwa hiyo wimbo wetu wa taifa unaweza ukachezewa ovyo ovyo, kwa kuingiza beti za futuhi, za kingwendu nk au za mapenzi moto moto za Diamond nk?Mwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi. Ataje Sheria iliyovunjwa, kama ipo, kabla hajatoa kauli za aina hii. - Tundu Lissu
Mnataka mummalizie? Damu ya TL haitawaacha salamaAnajiingiza kwenye kumi nanae taraatiibuu
Mambo makubwa ni yapi?Mtu anagombea urais! Badala awe bize na mambo makubwa makubwa, yeye anahangaika na Mutungi.
He can’t be serious
Msajili ndiye aliyetakiwa kuwaandikia CDM barua juu ya suala hilo. Sasa yeye anajiropokea tuu kama enzi zile tulipokuwa naye Dom kama msajili tukigombania watoto wa Dom Sec,Central Sec na CBE pale Kisasa nyumba 300.Kama mteuliwa wa kugombea nafasi ya urais, Tundu Lisu anapaswa kuacha siasa za aina hii.
Angewasiliana na msajili moja kwa moja kuweka heshima kwenye nafasi yake kama mgombea wa nafasi ya urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Aache mipasho isiyo ya lazima, tunafahamu anaifahamu sheria, sasa avae u candidate.