Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Aibu sana hii na pia video baada ya kuvuja amejisikia vibaya sana kwa taarifa za mtu wa Karibu na hapa ndo ajue sio wote wanaompigia makofi manake wanampenda

Pole sana kwa njaa na huenda ukalala Nje kwa kufukuzwa kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
Imevujaje ? Wakati naona kuna mtu mwingine anarecord tena yuko mbele hapo na hajaficha recorder yake ? Na Lissu anasema anajua taarifa zikiwafikia wengine watasema amekua omba omba which means haikua kikao cha siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe anajiona yupo d

Halafu wewe nawe,kwani ni dhambi au vibaya wewe kuwa mfuasi wa lissu na chama chake?unaleta kujificha ficha mara sijui utu mara nini sijui?au unafikiri watu wote ni wajinga humu?
Hapana mkuu,humu watu sio wajinga ndio maana tunajua kusoma na kuandika.Ila nina imani humu watu wapumbafu wapo,tena wengi tu.

Mara nyingi humu huwa hatujifichi maana ID fake tayari zimeshayuficha.Wengi humu na nadhani hata wewe ukiwemo huwa tunaongea ukweli halisi sababu hatujuani
 
Duh! Vijibwa vya lumumba vimejikusanya tele katika uzi huu.
Bila shaka ni saikoloji ya kujifariji na kumfariji bosi kutokana na mateso wanayopata kutoka kwa Lissu aliyeko ziarani ughaibuni.
 
Ama kweli adui muombee njaa na njaa haina ukamanda. Lissu akiwa anaitukana serikali huwa na sauti Kali kuliko speakers za Bose au JBL...sasa katandikwa njaa kawa mpole kama mtoto mchanga. Na bado akijikuta peke yake ndiyo atajua makamanda ni wa karatasi tu

Mmejazana humu leo! Pole yenu. Atoe namna zote za kuchanga tutamchangia. Hapo pia mtaona wivu!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makubwa haya huyu Lissu anawataka Wafadhili wasitupe misaada wakati huo huo na yeye anaomba Msaada? Hii ni tabia ya UBINAFSI.
Pathetic!!!!!
Wasiwape msaada waharifu lakini wawasaidie wahitaji kama yeye ...
1) Ni mgonjwa
2) Nchi yake haimjali.
 
Indeed
Pure Americans
Hawakwambii ukweli wanakuacha tu mpaka hapo utakapo jitafakari mwenyewe alafu uwachie ngazi
Hivi hivi itakuwa mambo ya:
Sorry come tomorrow
Sorry the boss is out for lunch
Sorry boss is sick
Sorry we are all in summer holidays
Sorry.......on and on and on
Na lissu ndio yuko kwenye hilo wheel
Mpaka atakapo gundua ‘akufukuzaye hakwambii toka ‘
UKWELI NI KUWA DUNIA NZIMA INAMLAANI TUNDU LISSU


Sent using Jamii Forums mobile app
ITAKUA UNAONGELEA DUNIA YA VILAZA aina za kina BASHITE
 
Bora anayeomba msaada kuliko angeiba.Kuomba ni UUNGU hata ukitaka kuongea na Mungu unamwomba sio unashupaza shingo.Kuna watu wanashupaza shingo kwa sababu tu sasa wanazo .Kila kitu kina wakati wake.Soma muhubiri 3:1-8 kila kitu kina majira yake.Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu
 
Binafsi nimeumia na kujisikia vibaya sana kitendo cha serikali wanachomfanyia Tundu lissu cha kusitisha malipo na mshahara wake.

Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!

Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu

Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app

Ni aibu sana kwa Taifa letu. Mbunge ambaye analipwa mamilioni anakwenda kuomba ada za watoto wa shule ya primary marekani? Watoto hapa nchini wanasoma BURE, anaomba fedha kwa ajili ya kulipa ada wapi? Utapeli kitu kibaya sana
 
naam. lisu anatutia aibu kama taifa.mbunge mzima ombaomba kama wale wa uvungo

kiduku kikubwa huku anaomba jero
Dk Mary Machuche Mwanjelwa alivyoiba mkufu Belgium alijitia aibu mwenyewe???
 
Kwamba kupitia maneno yake kuna miradi ya taifa inakwama? Ulinzi umetetereka? Mapato hayakusanywi? Wananchi hawachapi kazi? Ndio kwaaanzaa serikali iko busy na miradi mikubwa kwa maendeleo safi ya watanzania. Nyinyi endeleeni kupigia chapuo ushoga na wizi wa mabeberu na hatutakubali kuwaacha hivi hivi lazima muwajibishwe kisheria kama mwenyekiti sugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waethiopia ndio wenye midege na Dam kubwa zaidi Afrika ..train za umeme...ila kila siku wanakimbia kwao....
 
Kwani hakuna watu wa mataifa yenye uchumi mkubwa wanaondoka kwao na kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine kama Afrika? Mnaweweseka na nini? Nyinyi jipangeni kwanza ikiwezekana mfute hicho chama uchwara muanze upya na image mpya.
Waethiopia ndio wenye midege na Dam kubwa zaidi Afrika ..train za umeme...ila kila siku wanakimbia kwao....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom