Mwamba relax kias tuliza hasira
nimeumia sana baada ya kuona lisu anaomba msaada kwa watu sasa kwann anakuwa kibur na anajua anashida
hii ni video ambayo imevuja ambapo jamaa amenaswa akiomba msaada na hapo Mi muda mfupi baada ya wao kusitisha live streaming haya sasa
Aache kujitia kibur
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili ndogo sana. Nani kakuambia ameomba kuchangiwa kwa siri mpaka unadai kuwa amenaswa. Kama mmezuia gharama za matibabu ambazo ni haki yake, mmezuia mshahara na stahili zake zingine, kuna ajabu gani kuomba kusaidiwa? Au kama ambavyo hamna akili, hata hili la kuomba kuchangiwa na wazalendo wa kweli wa taifa hili, nalo lineanza kuwakera? Kwa taarifa yako atachangiwa na atapata fedha nyingi kuliko zile mnazo msimanga nazo..na mkumbuke karma ni hapa hapa!