fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 884
we pomboma si ulitaka afee manina sana weweamepewa 250 mil.matibabu ya msaada bure.malazi bure.usafiri bure ila bado anaombaomba
we pomboma si ulitaka afee manina sana weweamepewa 250 mil.matibabu ya msaada bure.malazi bure.usafiri bure ila bado anaombaomba
NJAA YA TUMBO...?, KIBAYA NI NJAA YA KICHWANI ILIYOTAMALAKI CCM
Adui wa Lissu siyo sisi wananchi ila ni kundi dogo la watawala ambao alishasema atanyamaza akiwa kaburini
Angesanda kwa muuaji wake hapo ningekuelewa, ila kwa kuwa anaomba michango kwa wananchi wenye kujali utu wa mwanadamu sioni tatizo labisa
Na kama tatizo lingeanzia kwenye kuomba michango ya matibabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tulichanga mabilioni ya fedha kwa ajili ya matibabu tunashindwaje kuchanga pesa ya kujikimu kwakeKuomba michango ya matibabu ni sawa na wabongo tumezoea ivo lakin sio kuomba michango ya ada za watoto na kodi au chakula....huo ukamanda wa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu wa kumchangia Mh, LISSU upoje kwa sisi wa Scandinavian kwa mfano. Kamanda hatokufa njaa na hatolala nje na watoto watasoma.Tutabeba mabox tutakata vitunguu, tutasafisha vyoo na tutalea wazee mpaka kieleweke.
Hivi Mh Lissu atakuja kututembelea huku na sie tupate baraka zake.?
Bora anayeomba msaada kuliko angeiba.Kuomba ni UUNGU hata ukitaka kuongea na Mungu unamwomba sio unashupaza shingo.Kuna watu wanashupaza shingo kwa sababu tu sasa wanazo .Kila kitu kina wakati wake.Soma muhubiri 3:1-8 kila kitu kina majira yake.Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu
Nyie ndio mnaendelea kumponza na kumpoteza kamanda msaliti. Unadhani utamchangia na kumtunza pamoja na familia take mpaka lini? Kuna watu wangapi wanaoweza kumchangia na kumtunza kwa muda mrefu? Huo uchangiaji wenu siyo sustainable, mnampotosha aendelee kujiharibia bure.Niko tayari kumchangia Lissu, Chadema tunaomba utaratibu
Mimi nafikiri hayo mashambulizi anayofanya kwa nchi kupitia media za kimataifa kuna mtonyo analipwa na hao mabeberu, kumbe ni njaa tupu, huwezi kushambulia system ya nchi inayokulipa maslahi yako halafu utegemee kuendelea kuenjoy hayo malipo, hili liko wazi kabisa
Wanaume mnajificha nyuma ya keyboard na majina fake. Njaa haina ukamandaHujawahi kuishi maisha ya kiume ww, hivyo kaa kimya wanaume wanapoongea.
Njaa haina ukamandaMmejazana humu leo! Pole yenu. Atoe namna zote za kuchanga tutamchangia. Hapo pia mtaona wivu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa haina ukamanda. Lissu kawa mpoooleeAdui wa Lissu siyo sisi wananchi ila ni kundi dogo la watawala ambao alishasema atanyamaza akiwa kaburini
Angesanda kwa muuaji wake hapo ningekuelewa, ila kwa kuwa anaomba michango kwa wananchi wenye kujali utu wa mwanadamu sioni tatizo labisa
Na kama tatizo lingeanzia kwenye kuomba michango ya matibabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu kawa mpoolee. Njaa haina ukamandaNJAA YA TUMBO...?, KIBAYA NI NJAA YA KICHWANI ILIYOTAMALAKI CCM
Lissu akiwa mpole utamuona kaenda kwa ndugai na magufuli kusalimu amri, lakini kwa sababu yeye anaishi kwa kile anachokiamini bila kujali maslahi gani binafsi anayakosaNjaa haina ukamanda. Lissu kawa mpooolee
System kama walijua watashambuliwa ilikuaje mkampiga Risasi? mnawaita mabeberu pindi wakihoji udikteta wenu lakini wakiwa wanawapa misaada huwa munawaita wafadhili huu unafiki wa kula 40% za Bajeti toka kwa wazungu mkishiba mnawaita mabeberu mtaacha lini?Mimi nafikiri hayo mashambulizi anayofanya kwa nchi kupitia media za kimataifa kuna mtonyo analipwa na hao mabeberu, kumbe ni njaa tupu, huwezi kushambulia system ya nchi inayokulipa maslahi yako halafu utegemee kuendelea kuenjoy hayo malipo, hili liko wazi kabisa