minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Ndiyo kwani kuna kesi inafukuta chini chini wataibuka kama zile meli za samakiSasa zimeshaligharimu hilo taifa?
Ndiyo kwani kuna kesi inafukuta chini chini wataibuka kama zile meli za samakiSasa zimeshaligharimu hilo taifa?
Ha ha ha sasa Bashite yupo Benchi watu waende kumsuta amtaje aliyemtuma kwenda Dodoma na kikundi chake kumpiga risasi Tundu lisuKwa iyo ni kweli kuwa Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu kupigwa risasi????
Nafurahi sana wana CCM mnavyozidi kutupa ushahidi humu!!! Tunaweka rekodi sawa hapa!!
Kumbe huyu binadam aliyetoa Oda ya kummaliza lissu ni yehova ? Ahhaaa Mungu anakuonaTundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataona hoja ya huruma kwa lisu kwani watanzania wanajua hakujipiga risasi mwenyewe bali wewe na wenzako ndiyo mlimpiga risasi, hoja ya huruma haina mashiko kwa wenye AkiliKuna uhusiano fulani watu wawili wakiingia chooni. Ni kukosa hoja ya kuzungumzia, anataka aonewe huruma kwa kueleza porojo. Amefilisika hoja.
Waliompiga risasi Tundu lisu wanaitwa Heri kisanduku na nyaulingo chini ya utaratibu wa Daud Bashite Kwa mujibu wa wapelelezi wa CIA na FBI waliopo ubalozi wa marekani hapo DsmKumbe huyu binadam aliyetoa Oda ya kummaliza lissu ni yehova ? Ahhaaa Mungu anakuona
Kwani wewe hutakufa? Alipigwa risasi kwa kufananishwa na usaliti wa mkapa ambaye aliwaleta wazungu Nchini na wewe ndiyo umemuua mkapa kwani unapenda kuua wasalitiLisu kasema alipigwa risasi sababu ya usaliti,
Kama ni kweli hata mimi ningempiga
Asante! Case closed 🙏Lisu kasema alipigwa risasi sababu ya usaliti,
Kama ni kweli hata mimi ningempiga
GoodKwani wewe hutakufa? Alipigwa risasi kwa kufananishwa na usaliti wa mkapa ambaye aliwaleta wazungu Nchini na wewe ndiyo umemuua mkapa kwani unapenda kuua wasaliti
AmenHuyo mhujumu uchumi mwenyewe waliotuaminisha katuibia hela ambazo kila mtanzania angeweza kununuliwa Noah leo amekuwa mgombewa wenu.Msitufanye wajinga,sisi siyo wajinga.Mlitaka kunyamazisha Lissu ili asiibue uozo wenu.Imekula kwenu,Mungu wa Haki amewaonyesha kwamba huyo hakustahili ku uawa kwa kuwa ALISIMAMIA HAKI NA KWELI.
Mungu yupi? Huyo huyo aliyemponya na risasi 16?Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Utathibitishaje usaliti wa mtu kama hujampeleka mahakamani?Mkuu kwani Lissu ndio msaliti na aliyekuwa ana tuhujumu?
Chuki tu ndo zimewajaa, mbowe na genge lake wamefanya mambo.
Ulivyombea hadi ukanipekuaMataga mpya au umebadili username
Mungu wa wapi huyo? au mungu wako Asiyejulikana kwa sababu Mungu wa wote hawezi kutenda kitendo kibaya kama hicho na bado na kama bado ujue wewe ndiyo bado utakumbwa na maswahiba mpaka ujutie dua zako za kishenziTundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Kila kitu ni chato mpaka wahindi waarabu wamekazimishwa kwenda kujenga Hotel majumba chatouchaguzi ukiwa HURU na HAKI anapata 45+
ngosha katenda ukatili (visasi) sana awamu ya kwanza, upendeleo wa wazi na zaidi maisha kuwa magumu kwa raia wengi!.
ccm wao hujiona kama hawatakufa wataishi mileleHakuna mwenye haki yakukatisha uhai wa mwenzake mtalipia mtalipa
Pengine jiwe alimuona msaliti akatoa Amri auawe je? Jiwe ana mamlaka ya kuua watu? Katiba inamruhusu kuwapiga watu Risasi?Maelezo yake umeyasoma na kuyaelewa?
Lisu amasema Magu alisema mkiwa vitani mnaua askari yeyote msaliti na ndio sababu yeye alipigwa risasi!
.
Je, Lisu alikuwa anasaliti nchi?
..Deo Mwanyika anayegombea CCM ndiyo alikuwa mtumishi wa ngazi za juu wa Barrick hapa Tz na baadae Afrika.