LOGARITHM
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 974
- 475
Hao WAHUNI wenye uwezo wa kuwaondoa WALINZI kwenye makazi ya Viongozi ili kufanikisha mauaji mchana kweupe, halafu wakaweza kuzuia uchunguzi wa kipolisi usifanyike na hatimaye wakazuia usomwaji wa ripoti ya kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama isisomwe bungeni ni KIBOKO. Bila shaka wana uwezo wa kuiteka nchi yoyote hapa Duniani.Sijawahi kusikia serikali yenye wahalifu wapumbavu kama Tanzania. Inawezekana Magufuli alikuwa hajui kinachpkwenda kutokea, lakini wahuni wakachomeka kwenye hotuba yake ili aonekane alikuwa anajua shambulizi lile na hivi hata yeye uwezo wa kuchuja maneno ni below 0, basi akalipuka nalo.