Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Tundu Lissu ni mmoja wa Watanzania waliofika Ivory Cost kwa gharama zao binafsi kuishangilia timu ya Taifa.
Hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyetumia fedha zake binafsi kwenda kuiunga mkono timu yetu
Akiwa uwanjani ameonekana akivuja jasho kali kwa presha na uchungu kwa timu yetu hadi kufikia kutumia bendera ya Taifa kupunguza jasho usoni.
Viongozi kama hawa ambao kila sekta wanasomeka kuiunga mkono nchi ni wachache kutokea. Tumpe maua yake
Hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyetumia fedha zake binafsi kwenda kuiunga mkono timu yetu
Akiwa uwanjani ameonekana akivuja jasho kali kwa presha na uchungu kwa timu yetu hadi kufikia kutumia bendera ya Taifa kupunguza jasho usoni.
Viongozi kama hawa ambao kila sekta wanasomeka kuiunga mkono nchi ni wachache kutokea. Tumpe maua yake