Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,413
- 13,732
kibaraka kupeleka nuksi tu abijan
Chuki zimekujaa hadi kwenye makalio
kibaraka kupeleka nuksi tu abijan
Mbona ccm ndo kazi yaochadema wasitumie hii michuano kisiasa itawamaliza mazima
umepanic 😜Chuki zimekujaa hadi kwenye makalio
Huyo chiba kaleta gundu leo😎Tundu Lissu ni mmoja wa Watanzania waliofika Ivory Cost kwa gharama zao binafsi kuishangilia timu ya Taifa.
Hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyetumia fedha zake binafsi kwenda kuiunga mkono timu yetu
Akiwa uwanjani ameonekana akivuja jasho kali kwa presha na uchungu kwa timu yetu hadi kufikia kutumia bendera ya Taifa kupunguza jasho usoni.
Viongozi kama hawa ambao kila sekta wanasomeka kuiunga mkono nchi ni wachache kutokea. Tumpe maua yake
Mmefungwa baada ya Ndumbaro kuingia kambini na kuhutubia masaa matatu wachezaji na kuwachosha na uccm wenu.Kumbe ndiyo maana tumefungwaaa!
We hupendi wamalizwe mazimachadema wasitumie hii michuano kisiasa itawamaliza mazima
Huyo Lucas mwashambwa ni chawa kichwa boga msaka tonge wa ccm.Hii taarifa imfikie kijana wa ccm Lucas mwashambwa. Imagine mtu anatumia fedha zake za mkononi kwenda kuwatia moyo vijana.
Acha mawazo ya kijingaHuyo Lucas mwashambwa ni chawa kichwa boga msaka tonge wa ccm.
Akiambiwa hata atoe kiboga apewe 'keki' na ccm anatoa
Wewe ndo jinga pumbavu la mwisho la taifa bata wahed chawa fukara unayetafuta kula kwa kujipendekeza chama cha majiziAcha mawazo ya kijinga
Taja kifungu utusaidie wengine.It Disrespectful. Ni kwamba ameikosea heshima Bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakati wakiomba Katiba mpya, wasisahau kuweka sheria itakayokataza kutumia Bendera kufutia jasho.
Bendera iheshimiwe.
Soma tenaTaja kifungu utusaidie wengine.
Kifungu cha nini?It Disrespectful. Ni kwamba ameikosea heshima Bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wakati wakiomba Katiba mpya, wasisahau kuweka sheria itakayokataza kutumia Bendera kufutia jasho.
Bendera iheshimiwe.
aisee akutukanae hakuchaguli tusi wallahWe hupendi wamalizwe mazima
Matako ya fisi wewe
sio kweli mkuuMbona ccm ndo kazi yao