Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.
=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.
“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo
=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.
“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo