Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Umechoka wewe na nani? Wenye akili wanahoji mambo ya msingi wewe zezeta unataka pesa tu bila kujali hizo pesa zimetoka wapi, na kwa namna ipi, hata kama waliopewa walihongwa kwako hakuna shida, taifa linabeba mizigo ya aina nyingi sana.Tumechoka na porojo tunataka pesa na ufanisi huko bandarini
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Usituchoshe cha muhimu mkataba mumeusikia kuanzia ukomo Hadi tutakachopata.Umechoka wewe na nani? Wenye akili wanahoji mambo ya msingi wewe zezeta unataka pesa tu bila kujali hizo pesa zimetoka wapi, na kwa namna ipi, hata kama waliopewa walihongwa kwako hakuna shida, taifa linabeba mizigo ya aina nyingi sana.
Samia na wenzake kina Mbarawa wana mikono michafu, hawafai kutupikia chakula chochote tukala.
Sasa tutashitakiwa IcsidAhsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Mko tayari mdange ukoo mzima ilimradi hela inaingia.Tumechoka na porojo tunataka pesa na ufanisi huko bandarini
Pesa subiri Vita ya Gaza iisheTumechoka na porojo tunataka pesa na ufanisi huko bandarini
Chawa wao ni wazaee wa mizingaUmechoka wewe na nani? Wenye akili wanahoji mambo ya msingi wewe zezeta unataka pesa tu bila kujali hizo pesa zimetoka wapi, na kwa namna ipi, hata kama waliopewa walihongwa kwako hakuna shida, taifa linabeba mizigo ya aina nyingi sana.
Samia na wenzake kina Mbarawa wana mikono michafu, hawafai kutupikia chakula chochote tukala.
Huko patamu kweli.Sasa tutashitakiwa Icsid
Tutamuongezea alifanya vizuriPesa subiri Vita ya Gaza iishe
Umempa vigeti vinne tu halafu unasubiri Pesa kama ile Jamii ya Mafalah Kule kanani 😂😂🔥
Lini utaenda Gaza kuwapambania jihadist wenzako?Huko patamu kweli.
Unafikiri mkataba wa maprofesa uchwara huo?
Huo mkataba unasainiwa kwa BismiLlah, si mchezo hapo. Watu wanafanya mambo yao kwa nia njema kabisa.
Huoni lussu alivyohaha hana pa kushika karukia nini? Ulinzi wa mali ya umma. Si aende akalinde bandari isihamishwe.
Zote hizo Mfalme ni AzizTutamuongezea alifanya vizuri
Mageti mengine wamepewa Adani Port wakishirikiana na AG group ya Abu Dhabi
Gaza hawatambui BakwataLini utaenda Gaza kuwapambania jihadist wenzako?
Halafu huyu Ajuza sidhani kama anapata hata muda wa kufua chupi zake.Lini utaenda Gaza kuwapambania jihadist wenzako?
Ajuza avae chupi! Ili kuficha Nini?Halafu huyu Ajuza sidhani kama anapata hata muda wa kufua chupi zake.
Mpk sasa wala chakula chao, hutaki rudi kwenu BurundiUmechoka wewe na nani? Wenye akili wanahoji mambo ya msingi wewe zezeta unataka pesa tu bila kujali hizo pesa zimetoka wapi, na kwa namna ipi, hata kama waliopewa walihongwa kwako hakuna shida, taifa linabeba mizigo ya aina nyingi sana.
Samia na wenzake kina Mbarawa wana mikono michafu, hawafai kutupikia chakula chochote tukala.
Hoja ni kuwa mkataba umekiuka Sheria. Tuwekee sawa hapoHuko patamu kweli.
Unafikiri mkataba wa maprofesa uchwara huo?
Huo mkataba unasainiwa kwa BismiLlah, si mchezo hapo. Watu wanafanya mambo yao kwa nia njema kabisa.
Huoni lussu alivyohaha hana pa kushika karukia nini? Ulinzi wa mali ya umma. Si aende akalinde bandari isihamishwe.