Tunaweza kupiga story?

Tunaweza kupiga story?

Asee hata mimi nikiwa unguja nakuwa bored sana, kuliko nikiwa Dar, sijuk kwa nini ila nahisi mtu umiwa bored maana yake kuna energy hauitumii ipasavyo hapoulipo
Ni kweli kabisa, unakua umekaa kaa tu huelewi, kuna mmoja kasema ukiwa huna hela ndio unakua bored sasa mfano sehem kama Kizimkazi hata ukiwa na hela unaifanyia nini au utoe sadaka misikitini🤣 sehemu tu yenyewe imepooza
 
Back
Top Bottom