Dokta kwanini unachukia wanaume?Guys najaribu kupost uzi kwa mara ya kwanza kwenye JF mpya tena kwa VPN, yeey!
Okay nipo bored, njooni tupige story mbili tatu, nipo Unguja sijui kwanini nikiwa huku nakua bored kuliko nikiwa Dar.....
Hey beautiful, long time hope unaendelea vizuri,Dokta kwanini unachukia wanaume?
Naendelea vema, shukrani sana,Hey beautiful, long time hope unaendelea vizuri,
Jibu lako: hapana SICHUKII Wanaume kabisa ila SIVUTIWI KIMAPENZI na Wanaume
Mimi skupenda kabisa ila nilikunywa pale kariakoo mmh mabayaHuo mchanganyo nilijaribu nikarudisha chenji