Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,745
- 50,143
Ukiendelea namtagKwea Boat msuya.
Leo mbona unakomaa na ujasusi na mtoto anataka Stori za Ushirombo.😁
Ukiendelea namtagKwea Boat msuya.
Leo mbona unakomaa na ujasusi na mtoto anataka Stori za Ushirombo.😁
Namshauri aongee vizuri na Zulu man, huyu ni mchawi aliye mashuhuri kule tandale.Anamnyima uhuru wa kuvibe na sisi wazee wa maandamano oct 29.
Oeh Msuya.Last warning
Una vitisho Kama Atisa Ngiri.Ukiendelea namtag
😁😁😁😁Oeh Msuya.
Msuya eeh,
Sikia Bhasi.
Emu taja herufi yake ya kwanza ya Jina nijue kweli wewe ni mtu wa Ndani kabisa 😂😂
Usimsikilize huyo.Namshauri aongee vizuri na Zulu man, huyu ni mchawi aliye mashuhuri kule tandale.
Kula chuma hichoooo!!Ahaaaaa,
Kuna waccenge wamekuletea Umbea PM.
Safi Sana.
Kwamba sivumi ila nimo ?Kula chuma hichoooo!!
Pole sana, kama ni kwa bahati mbaya rekebisha makosa tumeumbiwa wanaadamNimepiga hesabu na kuziwakilisha sehemu sasa kosa nililofanya nimeongeza sifuri nyingi mno.
Kwenye maisha yangu huwa sipendi kusema uongo!!!!!!
Pisi za kipemba zipoooo, wewe tu na ushawishi wakoNaulizia na huko pisi za kipemba zinapatikana unifanyie mambo?...
Anatuchota akili😄😂Hamna Babu hapa.
Ww ni Babu Janja 😂
Pesa ni muhimu lakini sio kila kitu, mtu anayehisi pesa ni kila kitu ni yule ambaye bado anajitafuta hata kwenye mahitaji ya msingi hajakidhi,Watu wasionazo huwa wanadhani pesa ni kila kitu!
Tarehe 29 tunakutana wapi?
Kuna mabinti warembo hapo?upo tandale ipi? njoo hapa kwa mtogole tupige vitu