Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 323
- 210
Wapendwa
Naingia Mara chache humu kwasababu ya majukumu...Nilitoa namba zangu kwa makusudi ili "serious buyers" wanipigie.
Vinja vya Bunju vimeisha... bado viwanja vichache madale kwa kawawa
Vilivyo jirani na barabara inayopita kwa kawawa;Milion8 na vilivyo kilometer2 mbele toka kwa kawawa milion7
Ikumbukwe, ardhi inapanda kila kukicha..Walio wahi walipata kwa bei nafuu kidogo
Karibu.. nipigie 0762 466 293