Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

Goldenmjema

Member
Mar 26, 2023
14
8
Kiwanja KINA sqm 1298 kipo Mbutu kigamboni, kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea.

Bei milioni 40. 0767600250/0674913177

20230625_103620207.jpg
 
Kiwanja KINA sqm 1298 kipo mbutu kigamboni,kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea.Bei milioni 40. 0767600250/0674913177View attachment 2669000
Sasa badala ya kueleza vyema umbali wa kutoka hapo hadi ilipo barabara kuu, wewe unatupa direction ya kuelekea baharini.. unadhani kila mtu ni mvuvi mkuu?
 
Heka moja bei milioni 15, zimepakana heka 3 sehemu 1, Kigamboni Kimbiji kwa Morris.

Maeneo yanafaa kwa kuuza viwanja pia unaweza nunu heka ukakata viwanja sehemu tambalale mnoo viwanja pia karibuni.

Mawasiliano: 0767600250/0674913177

20230625_110908858.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom