Hii bei ni rahisi saana
Afu kuna mtu juu hapo anasema bei kubwa... Sijuh km anaijua upangathere must be sth wrong, 260m/= kwa upanga ni bei ya kiwanja.
Si bure aisee.....Hata Mimi nimepata wasiwasi
Eneo lile upate kwa 260 Million wakati kuna Apartments ya 2 bedrooms inauzwa 350 million
Ongeza maarifa kuhusu thamani ya maeneo ndio utakuwa na uwezo mkubwa wa kufanya uchaguzi na kulinganisha maeneo. Alafu unaambiwa kipendacho roho kula nyama mbichi. kila mtu kuna location anayoipendamilioni 260 na ardhi au nimenunua nyumba tu.
nikienda tabata,kinondoni,sinza,mbezi,mbezi beach sina pata nyumba ya maana
nimekaa nje ila cha kushangaza kwa tanzania kuna vitu tunavifanya kuwa nathamani kuliko kitalu cha kuchimba dhahabu,ukibisha nije nikupe fact kwa nini thamani ya hiyo kuwa tofauti na pesa yenyewe.kuna sehemu nikikuonesha mtanzania kanunua na sehemu nzuri milioni100 utakataa na ulaya ambao hiyo nyumba gofu ni uchafuOngeza maarifa kuhusu thamani ya maeneo ndio utakuwa na uwezo mkubwa wa kufanya uchaguzi na kulinganisha maeneo. Alafu unaambiwa kipendacho roho kula nyama mbichi. kila mtu kuna location anayoipenda