Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?

Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?

Hivi kwa nini wasingepeleka zanzibar alafu dodoma ili wakitoka dodoma wanyooshee mwanza
 
Wengine kwetu ni Neema ,hapa nabadilisha style tu za nyumba ndogo ,wife nilimwambia nipo kuomboleza na foleni ni ndefuuuu yaani kuona maiti nitakuwa j2 au j 3
 
Sasa hii ratiba ndefu ya kuaga mwili ni kwa maslahi ya nani? Jibu ni moja tuu... CCM...
Asee kuna wakati unakua mtu mzima inapasa ujue ku select maneno ya kuongea

do not just write kwasababu una vidole,tumia hivyo vidole kuandika vitu vya maana

si kila jambo unapaswa uliongelee au ulijadili,who are yu then? Dear mshana,jitambue

elewa watu wapo katika kipindi gani acha kuropoka,Hamna malipo unayapata kwenye

uropokaji huo,Nime quote hiyo line yako yenye hadhi ya matapishi uisome tena na tena

Dear one,Watch out your Freedom na usitumie haki yako kufanya utopolo usiokubalika,Huna Hoja

unaongozwa na chuki na Unafki ndani yako,Nakwambia wewe direct Badilika MR.chagua njia sahihi.Nimemaliza.
 
Emu leteni point kutetea hoja yako ya kupinga alichokiandika mtoa post jazba haisaidiii chochote mwisho wake unazidi kuonekana ni 0
Kwani nikionekana 100 kuna faida gani? Hizo 100 hazilipi bili,sipendi sifa za kijinga kuhusiana na huu msiba,kuna watu wanajichetua akili kuumiza hisia za watu wengine ili waonekane wa maanakwa watu fulani, jamii forum ya sasa ya ajabu sana.usikubali kila kitu ili kumfurahisha mtu fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine kwetu ni Neema ,hapa nabadilisha style tu za nyumba ndogo ,wife nilimwambia nipo kuomboleza na foleni ni ndefuuuu yaani kuona maiti nitakuwa j2 au j 3
[emoji2][emoji2][emoji2]fursana
 
Mkuu huwa najaribu kutaka kujua wewe ni mtu Wa kariba gani nashindwa kukuelewa,una vihoja na vioja vya hapa na pale huku ukijiona wewe ni mjuvi kuwaliko wana jf wote.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
namtetea mtoa mada. ametoa hoja ya msingi. in addition to that kuuga mwili wa marehemu persee ni sawa na kumchoresha tu marehemu ndio maana waislamu hawa agi. kuna wengine wana enda kuaga kwa ajili ya kumsimanga marehemu
 
Asee kuna wakati unakua mtu mzima inapasa ujue ku select maneno ya kuongea

do not just write kwasababu una vidole,tumia hivyo vidole kuandika vitu vya maana

si kila jambo unapaswa uliongelee au ulijadili,who are yu then? Dear mshana,jitambue

elewa watu wapo katika kipindi gani acha kuropoka,Hamna malipo unayapata kwenye

uropokaji huo,Nime quote hiyo line yako yenye hadhi ya matapishi uisome tena na tena

Dear one,Watch out your Freedom na usitumie haki yako kufanya utopolo usiokubalika,Huna Hoja

unaongozwa na chuki na Unafki ndani yako,Nakwambia wewe direct Badilika MR.chagua njia sahihi.Nimemaliza.
uropokaji huo,Nime quote hiyo line yako yenye hadhi ya matapishi uisome tena na tena

Dear one,Watch out your Freedom na usitumie haki yako kufanya utopolo usiokubalika,Huna Hoja

unaongozwa na chuki na Unafki ndani yako,Nakwambia wewe direct Badilika MR.chagua njia sahihi.Nimemaliza.[emoji848][emoji848][emoji848]
CONTROLA Ni kipi kikubwa kimekukwaza kwenye huu uzi mpaka ukafikia kuandika hiki ulichoandika? Tafadhali nijulishe
 
Akisema kuhusu gharama naweza elewa hoja. Ila sio kumsikitikia eti anaumia.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app


Hoja ya gharama kwenye msiba tena msiba wa Rais wa nchi pia haiwezi kuwa na mashiko kwa kiasi hiki anachojaribu kutuaminisha hapa!

Kama kutakuwepo na upigaji ni kheri tu maana Kufa kufaana!

Msiba tu wa kawaida uswahilini wapishi wanaiba mchele na hata mafuta! It’s human nature!
 
Ukweli una tabia moja ya ajabu sana, na juu yake haukaliwi na chochote. Ukweli ni kuwa kama kweli wewe ni mkweli na nafsi yako inashuhuduia,basi ungekiri hili na kuacha kujadili hili sababu liko wazi sana, na hili liko wazi na nilio uandika ni ukweli wa wazi kabisa, ndio maana kuna swali katika nukta moja wapo huko juu hujalijibu.

Pili, nilichokiandika hapa kimemili katika elimu na misingi yake, ndiyo maana nimegusa pande zote, upande waki, wangu,wetu na upande ulio dhidi yako.

Tatu, ukweli hauna upande mzee, ndiyo maana huwa mchungu.

Nne, hizi ni falsafa dhaifu za kusema ya kuwa kuna ukweli wa namna unavyojitokeza kwa mtu, yaani wewe uwe na ukweli wako,mimi niwe na wangu tena katika jambo moja. Hapa walio leta hii nadharia walifeli na kuwadanganya watu, ukweli ni MMOJA.

Kaka usiwe unapoteza muda katika jambo ambalo hata ukipewa miaka na mikaka huwezi kulipinga kielimu, na hapa unadhihirisha hilo. Wewe si muadilifu. Sasa hili iweje linakushinda kwamba umekosea ? Kwanini usikiri hilo ?

Ni wachache sana huwa wanawapa stahiki zao wale wanao wachukia auwale ambao ni maadui zao, hao ni wenye elimu na uchajimungu, sababu huwa wanafanya mambo kwa ajili kumridhisha Mola muumba na si kujifurahisha, au jutafuta sifa au mfano wake.

Kwanza ngoja nikufundishe jambo kuhusu tamko UKWELI, nilichokiona hujui maana ya tamko hili, ndiyo maana linakusumbua na na kutoka nje ya mipaka yake.

UKWELI ni kauli au kitendo kuafikiana na hali halisi. Maana yake ukweli hauna egemeo, bali unasimama wenyewe popote pale. Ukweli haubadiliki sababu katika ukweli kuna hayo yoyote, yaani itifaki huzingatiwa.

Sasa mbona huu uhalisia wa wewe kumili katika hisia zaidi hutaki kuukiri au kwa sababu uko dhidi yako...?

Waja wema na wenye elimu, walisisitiza sana kutokupendelea kumzungumzia sana yule usiyempenda kwa kuchelea ya kuwa ni rahisi sana kumdhulumu, kumtuhumu na kumfanyia mbaya mengine kisa tu humpendi au mfano wake.
Waja wema na wenye elimu, walisisitiza sana kutokupendelea kumzungumzia sana yule usiyempenda kwa kuchelea ya kuwa ni rahisi sana kumdhulumu, kumtuhumu na kumfanyia mbaya mengine kisa tu humpendi au mfano wake.[emoji2839]

Asante kwa bandiko refu lenye ufafanuzi wa yale niliyoandika.. Hitimisho ndio limetoa muktadha wa yote uliyoandika
Bado tunapushana kwenye ukweli na uhalisia... Nitakapopata muda nitakuja na mada inayojitegemea kuhusu ukweli na kuhusu uhalisia..

Kwasasa hatuongelei tena mtu hai... Bali mwili wa mwendazake ... Sasa kinachotokea hapa ni vitu viwili tofauti kabisa ....Mwili wa marehemu na marehemu! Ukweli ni upi? Uhalisia ni upi? Hapo ndio tunaachana njiapanda
 
Tunachojisahaulisha ni kuwa huyu hakuwa tu John Magufuli, alikuwa Rais wa JMT, Tena Rais aliyekufa akiwa madarakani, je tumelifikiria hilo?

Hoja ambayo ningekubaliana na mtoa mada ni kufuja hela, Ila sio "kuuchosha mwili", unachoshaje mtu aliyekufa?

Unnecessary spending kwenye misiba hazikwepeki kabisa!
 
TUNAONA MKISUTWA NA ROHO ZENU WENYEWE KWA JINSI WANANCHI WANAVYOONYESHA HISIA ZAO.

KULIKUWA HAKUNA WIZI WA KURA BALI WAPINZANI MLIKATALIWA LIVE!
FB_IMG_1616319888218.jpg
FB_IMG_1616301610268.jpg
 
Waja wema na wenye elimu, walisisitiza sana kutokupendelea kumzungumzia sana yule usiyempenda kwa kuchelea ya kuwa ni rahisi sana kumdhulumu, kumtuhumu na kumfanyia mbaya mengine kisa tu humpendi au mfano wake.[emoji2839]

Asante kwa bandiko refu lenye ufafanuzi wa yale niliyoandika.. Hitimisho ndio limetoa muktadha wa yote uliyoandika
Bado tunapushana kwenye ukweli na uhalisia... Nitakapopata muda nitakuja na mada inayojitegemea kuhusu ukweli na kuhusu uhalisia..

Kwasasa hatuongelei tena mtu hai... Bali mwili wa mwendazake ... Sasa kinachotokea hapa ni vitu viwili tofauti kabisa ....Mwili wa marehemu na marehemu! Ukweli ni upi? Uhalisia ni upi? Hapo ndio tunaachana njiapanda
Yani ukivyowaita....wapigaji wanajilipa. .ndo wamemind etii!??😂😂😂😁😆😅😆😇😇😈😈😈😑😯😯😯😯
 
Back
Top Bottom