Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Demi Nilikuona wazi kabisa hukufurahishwa na bandiko langu... Hata pamoja na hisia hizi kwamba nilimchukia marehemu ...lakini sasa hatumuongelei Magufuli tena, tunaongelea 'mwili wake' Mada yangu imejikita kwenye mwili uharibikao baada ya roho kuuacha
Nimefanya kazi mochwari mojawapo ya ethics za mochwari ni kuwatendea haki marehemu wote hata kama kati yao kuna adui yako mkubwa kwakuwa kilichopo pale si yeye tena bali ni jumba tupu liitwalo mwili
Kama ni jumba tupu sio mwili hai iweje useme tunautaabisha? Hauna hisia, hauumii popote.
Kuuzungusha watu wamuage ni kujiridhisha matakwa yetu sie binadamu, maiti haitambui chochote. Na kama marehemu anaona kinachoendelea huku duniani naamini hakasirika kwa tunachomfanyia kwasababu ni kwa upendo tu.