Tunaotegemea ulozi katika maisha yetu tukutane hapa

Tunaotegemea ulozi katika maisha yetu tukutane hapa

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,190
Reaction score
8,398
Huu ni Uzi maalumu kwetu sisi vigagula , kwa ajili ya kupeana update za dawa mpya na michanganyo yake kwa lengo la sisi kupandishwa vyeo makazini, kuwaroga mabosi zetu watuachie Mali , kuroga wazungu, kujipatia Mali za kilozi n.k

Binafsi tayari Nina mchanganyo mpya wa jinsi ya kuwavua na kuwatumia vibwengo !
 
Huu ni Uzi maalumu kwetu sisi vigagula , kwa ajili ya kupeana update za dawa mpya na michanganyo yake kwa lengo la sisi kupandishwa vyeo makazini, kuwaroga mabosi zetu watuachie Mali , kuroga wazungu, kujipatia Mali za kilozi n.k

Binafsi tayari Nina mchanganyo mpya wa jinsi ya kuwavua na kuwatumia vibwengo !
Nimeacha ulozi.. Nimeuza kilinge na tunguli zote.. Shetani shindwa🙌🏿🙌🏿🏃🏿
4b19bde8-93d1-4637-bf13-b516e85d4f3f.gif
 
Huu ni Uzi maalumu kwetu sisi vigagula , kwa ajili ya kupeana update za dawa mpya na michanganyo yake kwa lengo la sisi kupandishwa vyeo makazini, kuwaroga mabosi zetu watuachie Mali , kuroga wazungu, kujipatia Mali za kilozi n.k

Binafsi tayari Nina mchanganyo mpya wa jinsi ya kuwavua na kuwatumia vibwengo !
😁😁😁 badae nitakuwa baharini kufanya kafara la kitu flani hivi
 
Back
Top Bottom