kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Kazi kuangalia spelling tu, huna vitu vingne vya kuangalia
Mkuu hizo xxx,cc huwa zinawakaa kichwani madogo usishangae akafika nazo chuoni .
Kazi kuangalia spelling tu, huna vitu vingne vya kuangalia
you have not secured mtonyo
Mbona IFM baadhi wamepata hiyo first lot? Hiyo ni chenga ya mwili...
Chenga kweli...IFM watu wa programs zote wamepewa sasa habari za afya sijui education sijui imekuaje.
ifm majina 79 yaliyofika hata nusu ya faculty moja haifiki..serikali haitendi haki
yap nikwel wmetoa majina machache ila kwa coz tofaut..kikubwa ni kujipa moyo kweny second lot mkuu.
hii habari umeitoa wapi???Kwa wale wenye vigezo vya kupata mkopo Mgawanyo wa mikopo unatolewa katika LOT tatu(3) 1. LOT ya kwanza(1) imekwisha tolewa 2. LOT ya pili(2) hii itaanza kutolewa alhamisi itakayo husisha wale wenye faculty au course zenye priorty,walemavu na yatima hawa watapewa kipaumbule. 3. LOT ya tatu(3) hii itahusisha baadhi ya faculty au course amabzo ni Non-priorty Wahusika wa jambo hili wapo kwenye mchakato wa kupunguza kero hii.Juhudi zinaendelea kufanyika ilikuleta usawa katika hili. Ukikosa #mkopo subri #boom TAARIFA FUPI Log in OLAS:HAPA...#copy and paste hyo
Kwa wale wenye vigezo vya kupata mkopo Mgawanyo wa mikopo unatolewa katika LOT tatu(3) 1. LOT ya kwanza(1) imekwisha tolewa 2. LOT ya pili(2) hii itaanza kutolewa alhamisi itakayo husisha wale wenye faculty au course zenye priorty,walemavu na yatima hawa watapewa kipaumbule. 3. LOT ya tatu(3) hii itahusisha baadhi ya faculty au course amabzo ni Non-priorty Wahusika wa jambo hili wapo kwenye mchakato wa kupunguza kero hii.Juhudi zinaendelea kufanyika ilikuleta usawa katika hili. Ukikosa #mkopo subri #boom TAARIFA FUPI Log in OLAS:HAPA...#copy and paste hyo
Inachukua mda gani lot moja hadi nyingine maana dah...
Hata mwezi wa 12 au 1
Ivi ni kweli kwa waliopata first LOT wankuta pesa chuoni tayari?
Umeipata wp hii news wwKwa wale wenye vigezo vya kupata mkopo Mgawanyo wa mikopo unatolewa katika LOT tatu(3) 1. LOT ya kwanza(1) imekwisha tolewa 2. LOT ya pili(2) hii itaanza kutolewa alhamisi itakayo husisha wale wenye faculty au course zenye priorty,walemavu na yatima hawa watapewa kipaumbule. 3. LOT ya tatu(3) hii itahusisha baadhi ya faculty au course amabzo ni Non-priorty Wahusika wa jambo hili wapo kwenye mchakato wa kupunguza kero hii.Juhudi zinaendelea kufanyika ilikuleta usawa katika hili. Ukikosa #mkopo subri #boom TAARIFA FUPI Log in OLAS:HAPA...#copy and paste hyo