Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

kwani lazima muende chuo hawa big result bwana unakuta mtu hata kufanya wiring hajui, kazi kukariri tu hko shuleni ingieni kitaa sasa ndo mjue nyie ni big result

Mkuu bangii nn??sasa wiring na elimu ya kidato cha sita wapi na wapi?
 
Dah poleni sana wadogo zang mungu atawasaidia kwasababu kusoma chuo bila mkopo na kama familia yako haiko vzur unaweza ishia njiani
 
Dah poleni sana wadogo zang mungu atawasaidia kwasababu kusoma chuo bila mkopo na kama familia yako haiko vzur unaweza ishia njiani

na unaweza ukadsko ukforce chuo unakaza but x ktoto
 
Sasa naanza kuamini mkopo hakuna tena heri kujipanga na kulipa 809.5k ya watu ili wanfanyie registration maana watu wa SUA hawaelew Kuhusu HESLB wao wanataka ulipe tu
 
hapo ndio kujifunza maisha sasa namna ya kupambana na changamoto za kimaisha....
 
Mbona mwaka jana hawakusubiri kias hiki, majina yote yalitoka within 24 hrs,

#Mtaisoma namba✌👊👊☝👆✌⌚⌚
 
Mbona mwaka jana hawakusubiri kias hiki, majina yote yalitoka within 24 hrs,

#Mtaisoma namba✌👊👊☝👆✌⌚⌚
 
kuwa na subira umeambiwa wa science, engineering na afya, tena baadhi; 'somo la uvumilivu linaendelea!'

#hapa lazi tu!

Dah! Uliposema somo la uvumilivu umenikumbusha mbali sana kaka, Enzi ile tuko under Muhuga.Usipime! Unaambiwa usitingishe Hata kichwa.###.
 
bodi wamesema.bajeti imebana wanasubiri mbele kwa mbele waseme lolote
 
Wakuu,

Kwa mujibu wa bodi ya mikopo HESLB kwenye Website yao wamesema mikopo iliyotolewa ni First Lot yaani inawahusisha wale wa education kwa upande wa science, Engineering kama petroleum na Irrigation, MD na kozi nyingine za Afya.

Kwa SECOND LOT ndo kunakuwa na kozi nyingine za Engineering, electrical, mechanica n.k pamoja na kozi nyingine

Embu kwa wale wenzangu na mie tunaosubiria hizo lot nyingine tuje hapa tushauriane, maana sasa hali ishakuwa tete....!

Welcome.
Hapana mkuu wanawadanganya tu hela wamelipwa wasanii wawadanganye tena wananchi waingie kingi na ndo umeona washaingia kingi... Kwahiyo isomeni tu namba haina jinsi
 
Wakuu,

Kwa mujibu wa bodi ya mikopo HESLB kwenye Website yao wamesema mikopo iliyotolewa ni First Lot yaani inawahusisha wale wa education kwa upande wa science, Engineering kama petroleum na Irrigation, MD na kozi nyingine za Afya.

Kwa SECOND LOT ndo kunakuwa na kozi nyingine za Engineering, electrical, mechanica n.k pamoja na kozi nyingine

Embu kwa wale wenzangu na mie tunaosubiria hizo lot nyingine tuje hapa tushauriane, maana sasa hali ishakuwa tete....!

Welcome.

Unasemaaa??
Ebu kasome huko bila mkopo acha kulia lia
 
Watanzania watu wa ajabu sana yani lowasa alisema elimu itakua bure mpaka chuo kikuu mijitu mingine ikachagua ccm sasa ata bodi ya mkopo tu haina pesa za kutoa kwani walitegemea wangepata wapi pesa ikiwa wanafunzi walowasomesha miaka mi5 ilopita hawajawapa ajira so zile pesa hazirudi yani serikali ya ccm tukisema mzigo wanachukia duh na bado wataisoma number....

Mikopo mingine ipo kwa wasanii tena hao wamechukua cash with no return
 
Back
Top Bottom