mij
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 1,993
- 2,127
Mkuu karibu sana
Tukumbushane mambo yetu mkuu
Mkuu karibu sana
Nipo, leta mambo
Umemsahau mkatili mmoja anaitwa Kinunda....haha
Chand kulikua chepesi sana
Ha ha ha. Ni sheedaasaDy/dx=lim-o sijui ndiyo hivi
Or f[x]=lim-o
Dah nimesahau kabisa
Hakika umenikumbusha mbali kiasi, japo sio muda mrefu kama wewe. Engineering science nilililewa sana hili somoWakati tupo Tech School enzi hizo,kuna mambo tuliyasoma wenzetu wa secondary za kawaida waliyakuta form 5. Kwa mfano topic ya Magnetism kwenye Engineering Science tuliisoma form4,pia topic ya Angular Motion,Projectile Motion enzi hizo. Sina hakika kama mitaala hiyo imewekwa kwa wanaosoma physics kwa secondary ya kawaida kwa miaka hii.
Baadae tulikuja kurudia pale DIT first year tena kwenye Advanced Physics. Nikasema hii mitaala ya ufundi inaoverdose sana watu.
Nimeyaweka hayo nikikumbuka Engineering Science ilivyokua ina derive equations katika Magnetism in resembkance na Electronics ambayo pia tulisoma O -Level. Ili kujenga hoja mwalim aliyetufundisha alisema hayo mambo yanashabihiana katika namna fulani. Hapo ndipo alipoonyesha kwa kusema kuna kitu kile ambacho kwenye Physics huitwa Electro-Magnetic Forces(E.M.F). Huko kwenye Magnetism kuna Magneto-Motive Forces(M.M.F) na ilikua na mahesabu hatari(kwa sababu ni miaka zaid ya 20) naanza kuashau,lakini ilikua ni shidaaa. Physics ni theory,practical na more analysisi(calculations chache), wakati Engineering Science ni Calculations tupu. Hakukua na Paper 1 na Paper 2.
Acha uongo , additional mathematics ya o'level haina differential equationHizo nyanga nilipiga kwenye additional mathematics nikiwa o'level, musoma tech kabla ya kukutana nazo tena advanced level, pcm...mitaa ya mazengo technical school
Hamna namna utaikwepa Chand katika Maisha yako ww kama pcm&pgm, katika Maisha ya advanceUnanikumbushia bwana Backhouse na bwana C.J Tranter... Acha tu...
Chand walikuwa wanatumia wazembe wazembe...
Haya mambo ya price action, elliot wave, sl, tp haya chagui kozi... Unaweza kuwa MD, accountant, nesi na bado ukayapiga...Wale tuliosoma price action ,support nd ressistance , wave na tunapiga tu hela mtaani through that tunacomment wapi ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna namna utaikwepa Chand katika Maisha yako ww kama pcm&pgm, katika Maisha ya advance
Good news siyo lazima kutazama screen siku nzima. Unaweza kuprogramme expert advisor inayotekeleza trading strategy yako kwa kutumia mql5 language. EA inatuma buy/sell push notification kwenye simu yako whenever trade rules are satisfied.Kazi na bata Saana!Haya mambo ya price action, elliot wave, sl, tp haya chagui kozi... Unaweza kuwa MD, accountant, nesi na bado ukayapiga...
Infact, under the hood, hayo mambo ya sl, price action kuna hesabu kali sana pamoja na mathematical algorithms zinazo operate each milli second!!
Sent using Jamii Forums mobile app
dy/dx is basic deals with single independent variable. Advanced calculus inacheza na variables nyingi - double,triple integrals,partial differential equations etcMambo ya dy/dx haha Mimi bado nakula hizo
Tbr boys??Umenikumbusha teacher Ben,.
[emoji2] [emoji2]
Na wa biochemistry,Physiology,Immunology wote wakija huu uzi utatosha??Na sis wazee wa anatomy tuna coment wapi sasa
Kwenye ma Noyes-Whitney equation,elimination rate..hatari sana..elimu ngumu sana aiseeMimi niliyasoma kwenye Addition mathematics, nikaja kuyasoma kwenye BAM nikawa nateleza tu.
Chuoni nikakutana nayo kwenye Pharmacokinetics