Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Kati ya topic ambazo nilikuwa sijibu maswali yake ni Magnetism
Wakati tupo Tech School enzi hizo,kuna mambo tuliyasoma wenzetu wa secondary za kawaida waliyakuta form 5. Kwa mfano topic ya Magnetism kwenye Engineering Science tuliisoma form4,pia topic ya Angular Motion,Projectile Motion enzi hizo. Sina hakika kama mitaala hiyo imewekwa kwa wanaosoma physics kwa secondary ya kawaida kwa miaka hii.
Baadae tulikuja kurudia pale DIT first year tena kwenye Advanced Physics. Nikasema hii mitaala ya ufundi inaoverdose sana watu.
Nimeyaweka hayo nikikumbuka Engineering Science ilivyokua ina derive equations katika Magnetism in resembkance na Electronics ambayo pia tulisoma O -Level. Ili kujenga hoja mwalim aliyetufundisha alisema hayo mambo yanashabihiana katika namna fulani. Hapo ndipo alipoonyesha kwa kusema kuna kitu kile ambacho kwenye Physics huitwa Electro-Magnetic Forces(E.M.F). Huko kwenye Magnetism kuna Magneto-Motive Forces(M.M.F) na ilikua na mahesabu hatari(kwa sababu ni miaka zaid ya 20) naanza kuashau,lakini ilikua ni shidaaa. Physics ni theory,practical na more analysisi(calculations chache), wakati Engineering Science ni Calculations tupu. Hakukua na Paper 1 na Paper 2.
 
Hivi wapo wenzangu wa level ya MSc (Mathematics) angalau tukumbushane mambo yetu? Maana hii level ya Advanced Maths nawaachia wale wa form six.
Ha ha ha ha. We ni kiboko. Wengine tunayakumbuka ya FTC huko kitambo sana. Baadae Chuo hata hivyo tumeshasahau mkuu. Ila kwa wewe uliyepiga kabisa MSc in Mathematics, kweli uko juu.
 
Wakati tupo Tech School enzi hizo,kuna mambo tuliyasoma wenzetu wa secondary za kawaida waliyakuta form 5. Kwa mfano topic ya Magnetism kwenye Engineering Science tuliisoma form4,pia topic ya Angular Motion,Projectile Motion enzi hizo. Sina hakika kama mitaala hiyo imewekwa kwa wanaosoma physics kwa secondary ya kawaida kwa miaka hii.
Baadae tulikuja kurudia pale DIT first year tena kwenye Advanced Physics. Nikasema hii mitaala ya ufundi inaoverdose sana watu.
Nimeyaweka hayo nikikumbuka Engineering Science ilivyokua ina derive equations katika Magnetism in resembkance na Electronics ambayo pia tulisoma O -Level. Ili kujenga hoja mwalim aliyetufundisha alisema hayo mambo yanashabihiana katika namna fulani. Hapo ndipo alipoonyesha kwa kusema kuna kitu kile ambacho kwenye Physics huitwa Electro-Magnetic Forces(E.M.F). Huko kwenye Magnetism kuna Magneto-Motive Forces(M.M.F) na ilikua na mahesabu hatari(kwa sababu ni miaka zaid ya 20) naanza kuashau,lakini ilikua ni shidaaa. Physics ni theory,practical na more analysisi(calculations chache), wakati Engineering Science ni Calculations tupu. Hakukua na Paper 1 na Paper 2.
Mkuu ulicharaza tech gan??
 
Kwenda mjini maana kupita mbele pale ulikuwa msala
Ndio mkuu
Ila mbele nilikuwaga napita alfajiri sana halafu napiga mguu hadi gomz maana nilikuwa najibana hela ili nikapige pepa/series mjini
 
Zilinifanya nikapata supp ya hesabu arusha tech,wakati o level nilikuwa mnyama Wa hesabu,nilikuwa sitak kujfunza mifano migumu zaidi siku ya mtihani yakaja maswali tofauti na mifano aliyokuwa anaitoa mwalimu
 
Hivi wapo wenzangu wa level ya MSc (Mathematics) angalau tukumbushane mambo yetu? Maana hii level ya Advanced Maths nawaachia wale wa form six.
Mkuu karibu sana
 
Back
Top Bottom