Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Integration, huku differential equation, pale complex numbers, kule kuna cordinate geometry. Like Physics, kufaulu hayo masomo kunategemea zaidi huruma ya mtunga mtihani kuliko uwezo wa mfanya mtihani.

Sanasana physics, mtungaji akiamua asitoke mtu, hatoki mtu kweli. Ukute swali la Magnetism limevimba sijui unaambiwa toroid imefanyajefanyaje, thubutuuuuu. Hata usolve hilo swali ukiwa uchi huchomoki.
magnetism moja ya topic rahis mno mi nina maswali 300 nimeyasolve yote ya only magnetism

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dont remaint me, nlipata shida sana na hii kitu, nlisoma hgk, nikafanya certificate ya IT, then ikanipa sifa kuingia udsm, mama yangu, ndo nayaona yale manyoka for first time nikiwa nasoma comouter science pale. Maisha yangu nayajua mwenye. But nlikamatwa last semester

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond platnumz hajui hata moja apo, lakini amewazidi hela na assets, hata kama mkichanga wewe na mwalimu wako.
 
Wakuu

Mm nilisoma PCM Tabora boys 2005-2007.

Nilikula sana integral na differential equations.

Wewe je?
Kwa wasio zijua someni hapa chini :-
A differential equation is a mathematicalequation that relates some function with itsderivatives. In applications, the functions usually represent physical quantities, the derivatives represent their rates of change, and the equation defines a relationship between the two. Because such relations are extremely common, differential equations play a prominent role in many disciplines including engineering, physics, economics, and biology.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaramsha product hapa 2012 -2014 kwiro boy. Dasolver ni shida pale kati
 
Huhuhuh nliacha mwaka jana hayo mambo uwiiiiiiiiih lol
 
Wale tuliosoma pure mathematics lakini si pcm wala Tabora boys tunacoment wapi?

Mambo ya Sir Isaac Newton f (x,y) dy\dx first derivative, linear integration.
Mmmmh mam una comment hapa tyuuuh
 
Back
Top Bottom