Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

Zina kusaidia nn kwenye maisha yako ya kila siku.
Dah...unayajua maisha yake ya kila siku? Kwa taarifa yako...Kama hujui...hisabati ndilo som opekee linalotusaidia katika kufanya maamuzi yenye tija katika shughuli zetu za kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu

Mm nilisoma PCM Tabora boys 2005-2007.

Nilikula sana integral na differential equations.

Wewe je?
Msingi mkuu wa hii topic ni from the fact that in every action, there is a reaction on it. Hii topic tunapima ukubwa wa reaction kutokana na action iliyofanyika. Tunaweza kuitumia pia kupima output due to input iliyotumia.

Marginal Product, Marginal Revenue, Marginal Costs, Marginal Profits, Marginal Sales zote hizi ni application ya Calculus.
 
Msingi mkuu wa hii topic ni from the fact that in every action, there is a reaction on it. Hii topic tunapima ukubwa wa reaction kutokana na action iliyofanyika. Tunaweza kuitumia pia kupima output due to input iliyotumia.

Marginal Product, Marginal Revenue, Marginal Costs, Marginal Profits, Marginal Sales zote hizi ni application ya Calculus.
Ahsante mchumi mbobezi,mchumi msomi
 
Msingi mkuu wa hii topic ni from the fact that in every action, there is a reaction on it. Hii topic tunapima ukubwa wa reaction kutokana na action iliyofanyika. Tunaweza kuitumia pia kupima output due to input iliyotumia.

Marginal Product, Marginal Revenue, Marginal Costs, Marginal Profits, Marginal Sales zote hizi ni application ya Calculus.

Umegusa mule mule bro izo marginal nini sio poa

Kuna kitabu nilikuwa na tumia kinaitwa mathematics for economics kama sikosei kiko vizuri sana ukiachana na chan ambacho ma lecturers wengi wa udsm wanapenda kukitumia

Ukiachana na hii kuna econometric mambo ya ku derive formula sio poa
 
Dy/dx=lim-o sijui ndiyo hivi
Or f[x]=lim-o
Dah nimesahau kabisa
 
Nimemaliza juzi tu bro

Course coordinator alikuwa Dr Mashindano baada ya kuchaguliwa na mkuu akashika Dr Ngasamiaku ni juzi tu
Mashindano alinifundisha EC116,
Ngassa namfahamu pia.

Prof ossoro,lokina,Dr Naho,leyaro nao wapo njema sana kwenye QM.

Kuna midude migumu aiseee "Dynamic of the state" 3rd year hiyo hatari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umegusa mule mule bro izo marginal nini sio poa

Kuna kitabu nilikuwa na tumia kinaitwa mathematics for economics kama sikosei kiko vizuri sana ukiachana na chan ambacho ma lecturers wengi wa udsm wanapenda kukitumia

Ukiachana na hii kuna econometric mambo ya ku derive formula sio poa
Kuna mkitabu wa muhindi unaitwa "Gujurati"
Kitabu kizuri sana kwa econometrics unaelewa concept kwa undani wake ila kinachosha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom